Kuna wengine tulisema yule alikuwa straika mzuri kwa sababu alifunga sana magoli ya penalt.
Pia straika huyu huwa ana hasira hata kipindi kike yuko mchangani mara nyingi marefarii walimpa kadi za njano au kukataa magoli yake ya kuotea.
Pia watu wanao mfaham walisema straika huwa ana roho mbaya kwao hata wanawe tu wana muogopa hali hii huathiri hata uchezaji wake kuwa ni wa rafu sana.
Sasa tume mpa nafasi acheze na kumpa ukapteni, sijui timu yetu itashindaje !!!
Usajili ujao tusikosee jamani