Kabuki anayo ipi kama sio some Sheria za muswaada ya hati za dharura.katiba Mpya... Ila isiwe Ile ya kabudi na warioba
Bila shaka ni yule yule necNan msimamizi wa uchanguzi!
Kabuki anayo ipi kama sio some Sheria za muswaada ya hati za dharura.katiba Mpya... Ila isiwe Ile ya kabudi na warioba
Bila shaka ni yule yule necNan msimamizi wa uchanguzi!
Yes,hata hii tuliyo nayo itakuwa nzuri huku tukiendelea kuiandaa mpya.Heshima itakuwepoKama South Afrika sio?
Utashangaa ndugai kawekewa kinga huku zuma hana kinga hata moja, haya mambo acha tu.....KINGA Zifutwe kwanza
Pole! Kama kule SA watu wamepata nafasi ya kupata mlo kwa kusingizia wanamtaka Zuma awe hurumimi nataka chakula,
nina njaa,katiba hailiwi.
wanasiasa wananjaa ya katiba
wanataka kula vyeo/madarak.
Akiona mzee wa msoga, mzee wa fitna, mzee wa kila aina ya siasa atasema hao ni vijana wa mtandaoni tu ndiyo wamechezacheza na tehama wakaja na hayo matokeoTupige kura ili kukata mzizi wa fitina na kupunguza mabishano!
Mzee wa Msoga atafurahi tu manake ngoma si yake hii!Akiona mzee wa msoga, mzee wa fitna, mzee wa kila aina ya siasa atasema hao ni vijana wa mtandaoni tu ndiyo wamechezacheza na tehama wakaja na hayo matokeo
katiba ya sasa iendelee kutumika.Tupige kura ili kukata mzizi wa fitina na kupunguza mabishano!
Kwani ya sasa ina mapungufu gani? Yaani watu wengine bhana. Mnaanzisha kura zisizo na maana kabisa yaani! Pyuuuu!Tupige kura ili kukata mzizi wa fitina na kupunguza mabishano!
Ukumbuke alivyomkata chenga ya mwili shost wa moon dullMzee wa Msoga atafurahi tu manake ngoma si yake hii!
Tehe tehe - huyo MZee mpaka leo hasikikii kabisa, sijui yuko wapi jamani!Ukumbuke alivyomkata chenga ya mwili shost wa moon dull
KuhesabuTukishapiga kura, what next?
katiba ya sasa iendelee kutumika.
KivipiNyie ndio mnairudisha nchi nyuma
Kivipi
Sijakataa mkuuSi unaikataa katiba mkuu
Sijakataa mkuu
Hajaikataa huyo!Si unaikataa katiba mkuu