Piere Liquid amepotelea wapi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,434
215,206
FB_IMG_1655749433681.jpg

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana.

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye amepotea!

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe?

Yuko wapi Pierre Liquid, Mhamasishaji wa Timu ya Taifa?
 
View attachment 2273114

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?

Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Duh
 
View attachment 2273114

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?

Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?

Mbona yupo anaendelea kutafuta pesa. Jamaa yupo anapambana au una lako binafsi na yeye. tabia za kujadili maisha ya watu hazikisaidii kitu huo ni ujinga Broo
 
View attachment 2273114

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?

Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Ni kati ya wabunge wapya wa CCM, ila kwa sasa anatumia jina lake halisi.
 
View attachment 2273114

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?

Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Nipo Mkuu. nina biashara zangu napiga
 
Yule jamaa wa " maake hapo nicheke" nampongeza coz nakutaka sifa za kijinga pamoja na kuvuma nakutaka kujipigia promo.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom