Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,667
Nadhani yupo bar anakunywa pombe
K vant imemmalizaView attachment 2273114
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana .
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye Amepotea !
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe ?
Yuko wapi Pierre Liquid , Mhamasishaji wa Timu ya Taifa ?
Yupo amejaa tele pale liquid
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana.
Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye amepotea!
Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe?
Yuko wapi Pierre Liquid, Mhamasishaji wa Timu ya Taifa?