Picture messages

Picture messages

ndo ile wanasema.."sea never dry but one day yes." Huyu bila ya shaka yoyte atukuwa ni LI MUTU!

Mkuu nimecheka sana aseee...yaani sikuwaza kama ungeenda mbali kumtaja mh mjumbe wa jumuiya ya wazazi hahaha
 
halafu kuna njemba lina 50 years bado lina dream kama hii....eti mbona bill gate ali-disco! eti bado anasubiri miujiza kama hii

We unamsema nanii... kijani na njano mtoto mzee

ndo ile wanasema.."sea never dry but one day yes." Huyu bila ya shaka yoyte atukuwa ni LI MUTU!

huyo naye le...ila kuna na li njemba fulani li-nshomire livivuuu lina hii mentality ya bill gate hakusoma,
 
images.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom