Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
- Thread starter
- #41
Hii ni kwa wale wasichana wanaochipukia wajue fika ujana ni sawa na maji ya moto, wasijisahau
View attachment 201557
Tisha sana
Hii ni kwa wale wasichana wanaochipukia wajue fika ujana ni sawa na maji ya moto, wasijisahau
View attachment 201557
Neno kuntuuu
Hiii nimeielewa sana
Hahahahaha mkuuu ni hatari sijui waliwaza nn kukiweka hiko kipaka.....ule mwendo sasa hahahaha daaaaah!!!
Ushawahi kudaiwa kodi ya nyunba wewe, hasa mwenye nyumba hiyo ndio iwe ajira yake, ukichelewa kulipa akakufuata, umemuona huyo paka mkia ndio unatangulia mbele kupitia hapo katikati maana kodi huna unasubiri uliyemkopesha akulipe ndio utoe ukimpigia japo akupe neno la utulivu unasikia "jaribu baadae" . . .
Hivi katuni za kingo bado zipo???
halafu kuna njemba lina 50 years bado lina dream kama hii....eti mbona bill gate ali-disco! eti bado anasubiri miujiza kama hii
halafu kuna njemba lina 50 years bado lina dream kama hii....eti mbona bill gate ali-disco! eti bado anasubiri miujiza kama hii
ndo ile wanasema.."sea never dry but one day yes." Huyu bila ya shaka yoyte atukuwa ni LI MUTU!halafu kuna njemba lina 50 years bado lina dream kama hii....eti mbona bill gate ali-disco! eti bado anasubiri miujiza kama hii