Picnic ya wanajamiforums


40,000/=? Inaweza ikawa ndogo au kubwa.

Justify hiyo figure kwa mchanganuo. Onesha how did you reached to that figure.
 
kwa hili tu utapata watu wengi, huko tena wiki nzima, hata mimi ntaenda, ila zingatia tarehe za wallet, ili zinisogeze karibu na Miss chaga, MankaM wao ndio watashindana.
 

Yaan nimechekaaa umeonaa eeee watu mtasemwa mpaka miguu yenu ilivyo unajua humu watu tushajiwekea akili kuna watu wazuri tu, wana pesa tu wakati waliopo mitaan ndio wamo humu humi
 

Nimecheka sana Matola.
 
Last edited by a moderator:
daaah kuolewa nako kunakosesha vingi, i wish ningekuwa single now
 
safie kabisa.... ntajilipia mimi na wadada wawili wa MMU, na bili zote kwangu... first in, first served!!!!
 
hii nzuri ila mbona hela kama ndogo au tunaenda baga moyo tupe utaratibu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…