Picha zinatisha; Mwanamke adaiwa kumkata Mumewe sehemu za siri na kuzipika!

Ukitaka kukaa vizuri na Mwanamke. Wewe mdanganye tu, ukiwa mkweli yatakukuta. Huwa wanapenda sana wawe waelewa zaidi ya wanaume.
 
Dunia imegeuka sana kwa kweli na wanawake wamekuwa katili sana kiasi kwamba hata kwenye familia imekuwa ngumu kuwaamini wanawake kwa sasa!

Nimekutana na picha kwenye mitandao zinaonyesha mwanaume aliyekatwa uume wake na kisha kupikiwa kwenye tambi!
Sijajua exactly hilo tukio limetokea wapi lakini kwa tetesi ni Tanga, wenye taarifa zaidi wanaweza kutujuza..

Kwa kweli aliyesema wanawake tunatakiwa kuishi nao kwa maarifa na akili hakukosea,

Ambao hawajao nawashauri wasiingie kwenye ndoa kichwa kichwa, wala kuanzisha mahusiano pasipo kuchukua tahadhari, kubwa zaidi ni kumuomba Mungu kabla ya kufanya maamuzi!

Picha ni za kuogofya!
...
Acha uongo bofya hapa: Hashtag #زؤب sur Twitter
 
kata vyoteeeeeeeeeeee...................lakini sio dushe........................
 
Ya ng'ombe yapo ya mbuzi yapo, we mwanamke kwanini mpaka uyale ya mumeo, hilo litakuwa ni li shing'weng'we na sio mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom