MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,366
- 40,153
Ukimtoa Amani Golugwa na Mnyika hao wajumbe wengine wanakuwa ni genge la wahuni.
CCM vs CHADEMA.
Picha ipi hasa imeelekea kuongoza nchi kwa amani. Utulivu?
CCM wamekalia hasa kiongozi uongozi, picha inajieleza, pia hekima na busara uongozi wa CCM
CHADEMA ya Lissu imeelekea uharakati harakati zaidi na kukosoa kosoa.
Katika suala la kujenga amani nchi yetu CHADEMA ya Lissu bado.
Picha ya CHADEMA inaonesha kwamba kama wamekasirikiana hivi, hawana amani ktk nafsi zao tofauti na CCM
View attachment 3225683View attachment 3225735
Acheni ufalaChadema imekaa kinjaa njaa sana
Hebu nenda kaoge kwanza ndiyo urudiMkiristo anajua janaba?
Mhuni mumeo anayekusubiri udange ndiyo mpate mlo wa siku.Ukimtoa Amani Golugwa na Mnyika hao wajumbe wengine wanakuwa ni genge la wahuni.