Asante Mkuu;
Je kuna shughuli yoyote ya kimaisha anayofanya au ni mama wa nyumbani tu?
ni afisa uhusiano wa TAC AIDS
Asante Mkuu;
Je kuna shughuli yoyote ya kimaisha anayofanya au ni mama wa nyumbani tu?
Ngoja waje wenye uchungu na nchi yao watakwambia hii thread haina tija kwa taifa.
Wema sepetu ni kielelezo cha hiyo tija kwa taifa!ama kweli ukistaajabu ya musa..........!
Nani kasema huyu binti wa Temu aka HOYCE yuko makini na maisha yake>> kaolewa na kibabu kina mke South Africa na kwao Zambia na yeye ni mke wa kadhaa>>>angekuwa makini angeolewa na mtu ambaye yuko single sio kuwekwa kimada kwa gia ya "ndoa" uchwara
Wema sepetu ni kielelezo cha hiyo tija kwa taifa!ama kweli ukistaajabu ya musa..........!
Wenye kukumbuka majina yao anaweza kusaidia kuyaweka hapa...
Bila kificho mabinti wawili tu ndiyo naoana wako well behaved, Miriam Odemba ambaye alipata taji kubwa kuliko hata la miss Tanzania, remember. Na Happyness Magese tuuuuu. Hao wengine wote kitendawili, tega..... mwanangu mwana siti kijino kama chikichi!!!!
Hebu tuambie kuna lipi la maana huko?for more info log into
www.fashionjunkii.blogspot.com
www.8020fashions.blogspot.com
www.totalknockout.blogspot.com
www.lafyjaydee.blogspot.com
www.matukiouk.blogspot.com
utapata infor za kila unayemuulizia huko