Picha za Warembo Wetu Wa Zamani - Wako Wapi Na Wanafanya Nini?

Theresa Shayo alifariki miaka michache iliyopita akiwa ameolewa huko Ujerumani; nadhani alizikwa huko huko.

Mkuu;

Nimeona picha yake. Nywele zake hazionyeshi kama 100% alikuwa mbantu. Je una uelewa wowote wa wazazi wake na asili yake?
 
naona mwaka 1960,white girls ruled the catwalk,lazima zilikuwa enzi za neema,maana unlike now kulikuwa hakuna kushinda kupitia the back door


Mkuu una maana gani "hakuna kushinda kupitia the back door"?

Na sasa hivi hali iko vipi?
 
Mwaka 1967 ndipo hayati Theresa alitwaa taji hilo kwenye shindano lilofanyika hoteli ya Kilimanjaro, alifariki dunia january 26 mwaka 2007 na maradhi ya kansa ya tumbo huku akiwa na umri wa miaka 61; alifariki dunia huko Augburg Munich Ujerumani na kuzikwa uko uko alikokuwa akiishi miaka yote hiyo.

Thanks.

Je alikuwa ni half-cast?
 
silivya bahame tulikuwa nae chuo,alikuwa law yeye!
-rough driving!Lol.nadhani ni mrembo pekee aliyepata gari ya maana.alipewa hilux double kibini

-ciggarate smoka!actually she was a chain smoker.uzungu mwingi.lol!wapambe wake wanasema maisha yake yote tangu anazaliwa alikuwa london

-pool-table!mama yangu.demu alikuwa master-pool

-HONESTLY SHE WAS THE SEXIEST WOMAN I HAVE EVER SEEN IN MY LIFE!maprof walimsumbua sana,wakamdisko kwa chuki zao tu.lakini akarudishwa

sijui yupo nchi gani dem huyu

Du, kumbe alikuwa Kipanga at the same time Mbabe.

Kazi kweli kweli.
 
Hii thread tukianza kumkoma Nyani kisawa sawa lazima itafungwa....so ngoja tusifie ili isifungwe.....wadada mmependeza saana mko juuu....

Mkuu usimkome nyani Kamanda,

Ila si vibaya ukitujuza wako wapi na wanafanya nini.
 
HOYCE-TEMU-%2526-HUSBAND.jpg


Duuh! Hapa naona demu iko na Liyumba wakati bado akipeta BoT!!

Mkuu;

Hii picha haifananii na ya Kamanda Liyumba.

I was of impression kuwa ni "My Husband wa Hoyce Temu"
 
Mrembo Happiness Magese (Millen) Yupo Jijini New York Toka mwanzoni mwa August/2009 amepata Mkataba na Kampuni ya Ford Model ya Jijini hapo,kabla ya hapo Mrembo huyo alikuwa anafanya kazi Nchini Afrika ya Kusini katika Kampuni ya Ice Model Management.Happiness Magese alikuwa Miss Tanzania mwaka 2001.
 
silivya bahame tulikuwa nae chuo,alikuwa law yeye!
-rough driving!Lol.nadhani ni mrembo pekee aliyepata gari ya maana.alipewa hilux double kibini

-ciggarate smoka!actually she was a chain smoker.uzungu mwingi.lol!wapambe wake wanasema maisha yake yote tangu anazaliwa alikuwa london

-pool-table!mama yangu.demu alikuwa master-pool

-HONESTLY SHE WAS THE SEXIEST WOMAN I HAVE EVER SEEN IN MY LIFE!maprof walimsumbua sana,wakamdisko kwa chuki zao tu.lakini akarudishwa

sijui yupo nchi gani dem huyu

Hapo kwenye nyekundu hmmm!!
 
MwanaFA;

When was that?

Kuna mahali niliwahi kusoma au kusikia kuwa yuko Multchoice. About 2 years back.

I was in Addis up until the beginning of this year then niakenda chuoni. Last time I saw her was at a embassy party at around end of 2007 or begining 2008.
 
Mrembo Happiness Magese (Millen) Yupo Jijini New York Toka mwanzoni mwa August/2009 amepata Mkataba na Kampuni ya Ford Model ya Jijini hapo,kabla ya hapo Mrembo huyo alikuwa anafanya kazi Nchini Afrika ya Kusini katika Kampuni ya Ice Model Management.Happiness Magese alikuwa Miss Tanzania mwaka 2001.

So far, huyu binti anonekana kama Role Model katika Industry.

Hongera sana Happiness. Tuwakilishe vizuri na usisahau "Maadili".
 
HOYCE-TEMU-%2526-HUSBAND.jpg


Duuh! Hapa naona demu iko na Liyumba wakati bado akipeta BoT!!


kaa kimya kama hujui uliandikalo wewe...huyu ni mume wake na sio LIYUMBA.....LIYUMBA alishindwa hapa huyu dada is very understanding na yuko very careful na maisha yake....last time i checked with her alikuwa standard chartered somethin like tht.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom