Kama ni huyu Miriam Odemba ninayemfahamu basi naomba hapo uweke mmoja tu. Labda Magese, Odemba ni disgrace for Tanzania. Kama hii ingekuwa ni forum ya udaku basi mambo yake yangemwagwa hapa.
Aina maeda ameolewa na some dude called Jeanne Pierre sijui ni msouth.
for more info log into
www.fashionjunkii.blogspot.com
www.8020fashions.blogspot.com
www.totalknockout.blogspot.com
www.lafyjaydee.blogspot.com
www.matukiouk.blogspot.com
utapata infor za kila unayemuulizia huko
HIVI miss mmoja somebody stella tingisha yuko wapi?
Aina Maeda 1994 Akimvika Taji emily Adolph 1995.
HIVI miss mmoja somebody stella tingisha yuko wapi?
huyo wa kushoto ni issabela kafumba,ambaye nadhani amewahi kuwa miss mirinda,hivi sasa na mkazi wa england
kabla ya miss tz hii ya miaka hii, kulikuwepo na mashindano ya ulimbwende hasa yaliyohusu mavazi na mitindo kama vile farida fashion, miss mirinda na kadhalika. baadhi ya kinadada waliokuwa wakitamba sana ni hawa. kuna mdau alitaka kumuona stella tingisha ambaye ni huyo kulia.
source: http://issamichuzi.blogspot.com/2006/06/kabla-ya-miss-tz.html
huyo wa kushoto ni issabela kafumba,ambaye nadhani amewahi kuwa miss mirinda,hivi sasa na mkazi wa england
Nimechoka kupiga honi weee . . . . .
nimwambie nani anamtafuta?Unacontact naye? Namtafuta sana
nimwambie nani anamtafuta?
Sijakuelewa kiongozi! I am more than serious ni rafiki wa sister wangu!
Kamanda, its just a light Joke.
Kama ni huyo ninayedhani amewahi kufanya kazi SUKITA miaka ya 1994/95 inaweza kuwa rahisi kmuatfuta kupitia Ex-Employees wa SUKITA
yes she is an ex sukita employee. MASA,nikimwambia masa wa JF hawezi elewa cause JF sio anga zake na incase you have any peculiar designs she is married to salva rweymamu,spin docter wa kikweteKamanda, its just a light Joke.
Kama ni huyo ninayedhani amewahi kufanya kazi SUKITA miaka ya 1994/95 inaweza kuwa rahisi kmuatfuta kupitia Ex-Employees wa SUKITA
yes she is an ex sukita employee. MASA,nikimwambia masa wa JF hawezi elewa cause JF sio anga zake na incase you have any peculiar designs she is married to salva rweymamu,spin docter wa kikwete