Picha za Mkapa na Vincent wakiwa kwenye msiba wa baba-Vincent yaani Kiboko Nyerere

BWM anaweza kuwa sahihi kwa asilimia 100% coz anayejua Vincent ni mtoto wa nani ni mama yake na siyo Babaake. so huwezi jua pengine BWM anajua kilichojiri. kuondoa utata mama wa Vincent aseme mtoto wa nani huyu?
 
Mzee mkapa si ajabu ana umwa ugonjwa wa kukosa remember. Tumuombee remember irudi aache kutumiwa na magamba
 
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.

Kama BWM ni maarufu, aliendaje kwenye msiba wa marehemu asiyemfahamu wala asiyekuwa maarufu. Acha akili za kuku za kutokuwa na kumbukumbu.

 
Ukishakuwa mtoto wa Kiboko Nyerere ndio ushakuwa mtoto wa Juliasi?

Hao watoto wanaoijidai wa Nyerere wangejuwa Juliasi alivyoigaragaza hii nchi wangeona haya hata kutumia hilo jina? kwanza huyo Juliasi ndio alituingiza kwenye matatizo, hakutufaa kwa lolote na hao wanawe wa kuwazaa mwenyewe hawafai kabisa, hata senti tano. Baba yao aliiletea faida ipi hii nchi badala ya hasara tu?

Kama unayoyasema haya yote ni kweli basi Mkapa ni ZUZU nambari ONE kwa kutuma barua ya maombi ya kuwa mwana-ukoo kwenye ukoo ambao kwa mtazamo wako ndio umeleta taabu zote za nchi hii. Hongera sana SPIN DOCTOR wa Mkapa!
 
View attachment 50319

Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.

Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.

Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.


Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.

Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!

Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012

CDM bana kwa kuchakachua hamjambo aisee, hiyo picha mliyo izungushia wala haionyeshi ni Vicent. Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kusema huyu mtoto ni wa ukoo wa Nyerere? wanasema hata ukimuona mkeo , mmezaa nae mtoto na kila mara anajifanya kusema oooh umefanana nae, ooooh mtoto anakupenda sana, ujue huyo si wako. Na ndivyo ilivyo kwa Vicent
 
Kama BWM ni maarufu, aliendaje kwenye msiba wa marehemu asiyemfahamu wala asiyekuwa maarufu. Acha akili za kuku za kutokuwa na kumbukumbu.


Nyie huyu mzee Kiboko ambae mnasema eti ni baba yake na Vicent hamumjui. Huyu mzee alikuwa na upungufu wa akili na mara nyingi alikuwa anakuja mwanza mtaa wa Uhuru kwa familia ya mzee Hazaa. Fuatilieni habari zake kwenye ukoo huu mtaambiwa
 
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.
Tuko pamoja papaa Likwanda
 
Nyie huyu mzee Kiboko ambae mnasema eti ni baba yake na Vicent hamumjui. Huyu mzee alikuwa na upungufu wa akili na mara nyingi alikuwa anakuja mwanza mtaa wa Uhuru kwa familia ya mzee Hazaa. Fuatilieni habari zake kwenye ukoo huu mtaambiwa
hapo point iko wapi ?? mkuu naona kama unajikanyaga tu hapa issue si akili Jaribu kuzingatia mada
 
Mie sipo hapa kwa ajili ya kumtetea mtu bali ni namna tu ya kuwekana sawa ktk mambo ya msingi; basi nawe hebu nukuu ile kauli aloitoa Mkapa na uieke hapa ili isije kuwa hatujui tukiwekacho sawa hapa"
Sitaki kurumbana nawe maana unaonekana kutetea mtu mwenye kujulikana dhahiri alitenda kosa
 
View attachment 50319

Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.

Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.

Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.


Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.

Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!

Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012

Hivi kweli kwenye msiba pekee tena siku moja hasa kwa Rais ni sehemu ya kumtambua kila mwanafamilia ya marehemu? Mkapa hapaswi kulaumiwa kwa hilo, labda kama kwa lengo la Vicent kujiimarisha kisiasa. Chamsingi tu Dogo aende shule asitafute umaarufu kwa hilo pekee. Apige buku kwanza umaarufu utakuja wenyewe.
 
Back
Top Bottom