Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.[
wewe ni MBUMBUMBU.
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.
Hivi linamilikiwa na nani vile?hili gazeti linakuja vizuri.
Hivi linamilikiwa na nani vile?
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.
Huo msiba mwaka gani? Ungekuwa wewe ungemkumbuka mtu huyo uliyemuona miaka 15 iliyopita?
Huo msiba mwaka gani? Ungekuwa wewe ungemkumbuka mtu huyo uliyemuona miaka 15 iliyopita?
nina wasiwasi na kumbukumbu za kipipa mkapa!
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.[
wewe ni MBUMBUMBU.
tena mbumbumbu mzungu a reli!
hii kali..we ni maarufu kwenye ukoo wenu.!
Jamani Ben alisema alikuwa anatania! Maajabu hayatakaa yaishe
"No research no right to speak" BWM angekaa kimya kuliko kuropoka vitu asivyokuwa na uhakika navyoHuo msiba mwaka gani? Ungekuwa wewe ungemkumbuka mtu huyo uliyemuona miaka 15 iliyopita?
View attachment 50319
Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.
Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.
Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.
Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.
Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!
Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012
Nilisema na nitarudia tena kusema Balile na Boss wake [Mmiliki wa gazeti la Jamhuri] wako kazini wakiwa na agenda ya 2012 ndani ya CCM na 2015 kwa ajili ya kuingia Magogoni. Hii habari haitaisha labda Mkapa aamue kwenda Mahakamani kuomba magazeti yasiendelee kuiandika, vinginevyo kuna mtu anataendelea kutumia habari hii kama mtaji.