Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Meli yahofiwa kuzama Zanzibar
Meli ya Skagit iliyokuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar inahofiwa kuzama katika eneo la Chumbe ikiwa na abiria wapatao 200.
jamani wenye habari zaidi ninawaomba watujuze ...................
Meli ya Skagit iliyokuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar inahofiwa kuzama katika eneo la Chumbe ikiwa na abiria wapatao 200.
jamani wenye habari zaidi ninawaomba watujuze ...................