QALLI MIZOH
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 2,075
- 699
Wanaogopa maandamano..
Ni GM, aina imenitoka..
Magar mazur wanapolala hapatamaniki.
Case study Oysterbay
Hii inanikumbusha baba flani watoto walikua wanalia njaa yeye akawanunulia nguo za gharama.Tunashukuru wamepata vitendea kazi lkn bado wananjaaInaniuma sana kuona pesa inateketea kununua magari mazuri sana kama haya wakati Polisi wenyewe ni kama hawa exist kabisaa!!kwa kweli sina imani kabisa kama hii nchi ina Polisi. Polisi wamekuwa ndio maadui zeti sisi wananchi, juzi nilikuwa pale Kibaha ktk tukio la ujambazi, Lah! sikudhania kabisa kama just opposite kulikuwa na kituo cha Polisi. Mapolisi wanakimbia hovyo kuogopa Majambazi yaani Its appalling as it goes! wasingenunua magari mapya na badala yake wangehamasisha ethics za kazi zao nchi nzima.
magari yanavutia. ni aina gani?
yakuzuia maandamano au ya kukamatia majambazi
Kwamba ni product ya General Motors au???!!!!!
Ni GM, aina imenitoka..
Inawezekana ...
Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam.....KAMA DUBAI
View attachment 187881View attachment 187882View attachment 187882
picha za magari mapya ya polisi mtaani dar es salaam.....kama dubai
View attachment 187881View attachment 187882View attachment 187882
hizo gari siyo gm.....ni mg part of rover....kampuni tofauti na landrover....ni magari mabovu yaliyokosa soko hata kwa waingereza wenyewe...kiwanda kikafa wachina wakaokoa jahazi wakakinunua na kuhamishia production china na hayo mnayoyaona ya polisi yametengenezwa china....kiwanda halisi kilichokuwa uk kimefungwa....baadhi ya magari ya rover ni rover 200,300,75 ambayo sasa hivi hayatengenezwi tena.
Cc: olesaidimu