Tunayasubiri baada ya miezi sita!!!Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam.....KAMA DUBAI
![]()
![]()
![]()
Tunayasubiri baada ya miezi sita!!!
Yatakuwa viti vimekwisha kwa kupakia mkaa, engine inamisi kwa kupiga vipipe vya petroli, na tairi feki zimebadilishwa!
Nikiondoka na Verossa hawanikuti
ni bmwhizi ni benz new model.