Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam

Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam

D 007

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
206
Reaction score
147
Picha za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam.....KAMA DUBAI

attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • Polisi-1.png
    Polisi-1.png
    52.7 KB · Views: 4,213
  • Polisi-2.png
    Polisi-2.png
    54.1 KB · Views: 6,510
Sijui kama yatafika wanakoishi na kujificha wahalifu,
 
Haya magari nadhani ni ya msaada... Yamegawiwa kwa idara mbali mbali za serikali baada ya 'kudoda' kama Samaki wa Magufuli... Nasema yalidoda coz niliwahi kuyaona kwenye yards za TEMESA yakikaa kwa mda mrefu. Tena yalikuwa na rangi nyeusi kama sikosei. Sikuona vizuri coz nilichungulia kwa mbali... Mwenye taarifa zaidi atatujuza...
 
kuna moja kila siku analipark pale Akiba/junction ya morogoro road na bibi titi kutega bodaboda wanaoingia mjini.
 
Haya 2015 is loading........................:!
U.A.E wao wanatumia ferarri,
 
mkuu. Usedcuntrynewpepo kwani Tanzania tunaweza kununua nini bila msaada?net tu ni za msaada sembuse gari?
_
_nimependa id yako
 
Last edited by a moderator:
Inaniuma sana kuona pesa inateketea kununua magari mazuri sana kama haya wakati Polisi wenyewe ni kama hawa exist kabisaa!!kwa kweli sina imani kabisa kama hii nchi ina Polisi. Polisi wamekuwa ndio maadui zeti sisi wananchi, juzi nilikuwa pale Kibaha ktk tukio la ujambazi, Lah! sikudhania kabisa kama just opposite kulikuwa na kituo cha Polisi. Mapolisi wanakimbia hovyo kuogopa Majambazi yaani Its appalling as it goes! wasingenunua magari mapya na badala yake wangehamasisha ethics za kazi zao nchi nzima.
 
Pijoti au macho yangu tu??

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom