Picha yangu ya Siku 2024

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,505
86,054
Hii picha nimepiga Leo asubuhi huku barabarani. Hakika hii Nchi nzuri kabisa. Kuna yule Jamaa aliyechora mawe Nchi nzima, sijui yuko wapi.
IMG-20240323-WA0018.jpeg
 
WIZARA ya utalii, inabidi itoe TENDER ( CONTENT CREATOR), kutumia mawe kupublish, kumbukumbu mbalimbali...kwa kutumia michoro na picha kwenye hayo mawe .... "historical sites" hii itasaidia JAMII ijayo kujifunza, lakini pia italeta huruma MTU yoyote kuharibu mazingira yenye message. Mfano JIWE linaandikwa wimbo wa TAIFA, JIWE linaandikwa mazao yapatikanayo mkoan huska, JIWE linachora ajari zilizwahi tokea mkoan huo na KUUA Sana, JIWE linachora wanyama woote wapatokanao mkoa huo, JIWE linaandikwa mitishamba muhimu yakutumia inayopatikana eneo Hilo....nk nk....JIWE linaandikwa kiuongozi aliyetetea JAMII hiyo, na kiongoz aliye haribu elimu kama Yule aliyefuta UMITASHUMITA...nk ..
 

Attachments

  • FB_IMG_1710736967262.jpg
    FB_IMG_1710736967262.jpg
    214.1 KB · Views: 2
WIZARA ya utalii, inabidi itoe TENDER ( CONTENT CREATOR), kutumia mawe kupublish, kumbukumbu mbalimbali...kwa kutumia michoro na picha kwenye hayo mawe .... "historical sites" hii itasaidia JAMII ijayo kujifunza, lakini pia italeta huruma MTU yoyote kuharibu mazingira yenye message. Mfano JIWE linaandikwa wimbo wa TAIFA, JIWE linaandikwa mazao yapatikanayo mkoan huska, JIWE linachora ajari zilizwahi tokea mkoan huo na KUUA Sana, JIWE linachora wanyama woote wapatokanao mkoa huo, JIWE linaandikwa mitishamba muhimu yakutumia inayopatikana eneo Hilo....nk nk....JIWE linaandikwa kiuongozi aliyetetea JAMII hiyo, na kiongoz aliye haribu elimu kama Yule aliyefuta UMITASHUMITA...nk ..
Hii Idea ni nzuri sana sana, tuombe MUNGU Yule Jamaa asiyaandike mambo ya SIASA tena.
 
Back
Top Bottom