Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #1,181
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akipewa maelezo na daktari wa hospital ya Selian juu ya mtoto aliyejeruhiwa katika bomu lililorushwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani wa chadema juzi