Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #1,161
Kutakuwa na Faida gani kwa wananchi kuwa na Serikali 3? . Serikali 2 zilizokuwepo madarakani hazina faida kwa walala hoi je hizo Serikali 3 zitawanufaisha kivipi Wananchi wake kama sio Mzigo wa bure usiokuwa na faida jamani? Wa-Tanganyika amkeni acheni usingizi huo.
Safi sana napenda wazee wenye mawazo mbadala kama hawa!![]()
Jaji Mstaafu, Mark Bomani akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya maoni yake ya Rasimu ya Katiba mpya, iliyotolewa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hivi karibuni.
Kwa watawala katiba mpya ni mwiba mbaya sana!
Serikali tatu zitaimarisha muungano na kuondoa manunguniko ya washirika wake!Kutakuwa na Faida gani kwa wananchi kuwa na Serikali 3? . Serikali 2 zilizokuwepo madarakani hazina faida kwa walala hoi je hizo Serikali 3 zitawanufaisha kivipi Wananchi wake kama sio Mzigo wa bure usiokuwa na faida jamani? Wa-Tanganyika amkeni acheni usingizi huo.
Watawala sasa hawataongea lugha moja!
Bima ya afya ingekuwa siyo lazima mimi ningejitoa!
Kata 'k' la masela!