Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

KATUNI(809).jpg
 
Kutakuwa na Faida gani kwa wananchi kuwa na Serikali 3? . Serikali 2 zilizokuwepo madarakani hazina faida kwa walala hoi je hizo Serikali 3 zitawanufaisha kivipi Wananchi wake kama sio Mzigo wa bure usiokuwa na faida jamani? Wa-Tanganyika amkeni acheni usingizi huo.
 
bomani2.jpg

Jaji Mstaafu, Mark Bomani akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya maoni yake ya Rasimu ya Katiba mpya, iliyotolewa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hivi karibuni.

Safi sana napenda wazee wenye mawazo mbadala kama hawa!
 
Kutakuwa na Faida gani kwa wananchi kuwa na Serikali 3? . Serikali 2 zilizokuwepo madarakani hazina faida kwa walala hoi je hizo Serikali 3 zitawanufaisha kivipi Wananchi wake kama sio Mzigo wa bure usiokuwa na faida jamani? Wa-Tanganyika amkeni acheni usingizi huo.
Serikali tatu zitaimarisha muungano na kuondoa manunguniko ya washirika wake!
 
BomuArusha.jpg

Baadhi ya wakazi wa mji wa Arusha wakiangalia Sehemu waliyokuwepo baadhi ya majeruhi wa mlipuko wa bomu katika mkutano wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi za udiwani jimboni humo uliokuwa unafanywa na Chama cha Chadema jana jioni.
 
Hiyo Sio picha yako mzizimkavu huyo ni Colin Powell aliyekuwa secretary of state kwenye utawala wa bush!
 
Hiyo Sio picha yako mzizimkavu huyo ni Colin Powell aliyekuwa secretary of state kwenye utawala wa bush!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom