Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #881
Mkuu kabanga Mkuu Nchimbi uongozi unamshinda hawezi kuongoza Wizara nzito kwenye uongozi infaa apewe Mtu aliye kuwa yupo Strong Man kuongoza Wizara ile nzito katika Serikali sio mtu kama Nchimbi haiwezi kabisa kuongoza hiyo Wizara ya Mambo ya ndani.inabodi akaze buti, vinginevyo ataumbuka mno ...!
![]()
ipe maelezo yake unaionanje?