Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

kp18022013.jpg
 
ukweli ni kwamba kulikuwa hakuna haja ya kupanda kwa bei sukari hapa nchini kama ilivyo sasa,nikwasababu tu ya wenye uroho wa fedha wanachukua sukari nchini na kupeleka nje,sisi wenyewe tunaupungufu lakini bado watu na tunawajua kabisaaa! Halafu haohao badae wanaomba vibali vya kuingiza sukari nchini sababu ni kuwa hakuna sukari, tanaelekea wapi jamani Tanzania ya leo na wanao umia zaidi ni wale wa vijijini
 
jk%20na%20orthodox.jpg

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mazungumzo na Kiongozi wa Kanisa la Orthodox, Pope Theodoros II, Ikulu jijini Dar es Salaam jana. Kiongozi huyo wa Kanisa la Orthodox yupo nchini kwa ziara ya kikazi, pamoja na mambo mengine

atatembelea miradi mbalimbali inayoendeshwa na kanisa hilo nchini ikiwamo zahanati na shule ya msingi mkoani Iringa pamoja na hospitali ambayo inaendelea kujengwa Bukoba mkoani Kagera.
 
Russian-army-feb21-2013.jpg

Russian Navy’s Admiral Vdovenko shows members of Tanzania People’s Defence Forces one of the modern weapons commonly used in the war on piracy in the Indian Ocean. The Tanzanian Army officers were aboard the Navy’s Marshal Shaposhnikov anti-submarine destroyer at Dar es Salaam port yesterday. (Photo: Guardian Correspondent)
 
Mwai%20Kibaki%20Feb%2021.jpg

Rais Jakaya Kikwete, akimlaki mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa Kenya (kushoto), katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Rais Kibaki yupo nchini kwa ziara ya siku mbili ya kikazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom