Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

Jk hajui kwanini TZ ni masikini lakini ashangaa kuojionea mali zetru zikihamishiwa nchi ya jirani........
 
kipanya_28_-_04_-_2012_20120503_1212933750.jpg


Kipanya nae ataka kugombea Uongozi wa Mpira Uchaguzi Mkuu ujao kasheshe kweli huko Tanganyika mnaongozwa mpaka na akina Vipanya?

kumbe ndio maana marwa anang'ang'ania ni noma..
 
Kagame.jpg

Rais Jakaya Kikwete,(wa 2kulia) na viongozi wenzie wa Afrika wakiwa katika mdahalo wa taasisi ya kilimo ya GroAfrica kwenye jengo la Makao Makuu Mapya ya Umoja wa Afrika (AU)jijini Addis Ababa, Ethiopia jana. Kutoka kushoto ni Rais Mstaafu wa Nigeria, Olusegon Obasanjo, Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Rais wa Ethiopia, Meles Zenawi.
 
Msaadahospital.jpg

World Islamic Propagation Humanitarian Services (WIPHS) coordinator Mariam Tejan distributes blankets donated by WIPHS to patients at Ocean Road Cancer Institute in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Tryphone Mweji)
 
marais.jpg

Rais Jakaya Kikwete wa nne kulia akiwa na miongoni mwa Marais wanaohudhuria mkutano wa nchi nane tayari duniani wanajulikana kama G-8, ulioitishwa na Rais wa Marekani Barak Obama wa kuzungumzia hali ya chakula duniani.
 
marais.jpg

Rais Jakaya Kikwete wa nne kulia akiwa na miongoni mwa Marais wanaohudhuria mkutano wa nchi nane tayari duniani wanajulikana kama G-8, ulioitishwa na Rais wa Marekani Barak Obama wa kuzungumzia hali ya chakula duniani.

Yeye peke yake ndo macho kwenye kamera,msanii bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom