Picha ya roho ikiwa ina uacha mwili

Picha ya roho ikiwa ina uacha mwili

Hakuna anayeiona roho inapotoka tusidanganyane kabisa.

Hata walivyotaka kwenda mwezini, anga za juu... exploration ya mars, waafrica walisema kama wewe!
Tatizo letu tuliacha kutumia ubongo wetu zamani sana...
 
Hivi kwa nini kila kitu twapenda kutaja jina la Mungu? We don't even live our talks!
 
Mbona wote mnapinga mada?jaribuni kufikiri pia!
 
"hakuna kisicho wezekana chini ya jua"
huwa nasoma mara nyingi sana mstari huu ili nami nifanye yasiyotarajiwa kwa kuwa yanawezekana kufanyika....hili lina wezekana kabisa hasa ukisoma vizuri mbinu alizozitumia kwenye utafiti wake
"those who believe they can go far, they are the only who knows how far they can go"
 
Matapta tu hawa, kila kitu wanajua wao! Mambo mengine yana mipaka! Zaid n kumtafuta Mungu maneno....
 
Matapta tu hawa, kila kitu wanajua wao! Mambo mengine yana mipaka! Zaid n kumtafuta Mungu maneno....

Wao hawamtafuti Mungu kama mimi na wewe ila they have done much more than you can think of, hii dhana ndo inatufanya tupunguze hata kufikiri! Give God what is due and that of Kaiser give it to him.
 
Roho ni energy ya mwili katika sehemu saba zinazoitwa CHAKRAS. Kwa buddhist, hinduism na watu wanaosoma meditation you can feel that energy. Ila hao sio wa kwanza kugundua hilo. Tibet kuna monks anaweza kuitumia spirit kunyanyua vitu bila kuvishika.
 
Hata walivyotaka kwenda mwezini, anga za juu... exploration ya mars, waafrica walisema kama wewe!
Tatizo letu tuliacha kutumia ubongo wetu zamani sana...



nasikia kwenye makablasha yako unapicha za baridi na joto!!!
 
Roho siku hizi ni tangible tena? kweli dunia inaelekea pabaya mpaka watu wanaona roho???
 
haha, hiyo picha ni imepigwa ktk mtindo wa thermal imaging, kwa kutumia infrared nadhani. hapo hakuna roho kutoka ama kuingia mwanawane. labda tu aseme picha moja ni ya mfu uliopoa, nyingine ni ya mwili hai wenye joto... ila concept ya roho hakunaaga.
 
Back
Top Bottom