Picha ya leo, ipe maneno

Picha ya leo, ipe maneno

silim5 na mimi nipe like mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kuhama CCM inahitaji uamuzi mgumu sana na Lowassa kafanya uamuzi mgumu ambao wengi hawakuutarajia.
 
Itakuwa photo shop tu, angalia lowassa kadi alivyoshika, mbowe njoo ututhibitishie picha hii
 
Wanawake kazi tunayo...natakiwa nimsapoti hazbandi, ndio...ni lazima nami nipewe kadi? Nsijejikuta kila pochi ina kadi yake, wakati hiyo siasa sina a wala be nayo...
 
Acha tu, nimekumisije charty....
Tuko pamoja.

HAHAH NIFAH AISEE WE MREMBO ULIADIMIKA...EID UKALA PEKE YAKO.. fanya kunitafute nikupe dhawadi yako umenifurahisha sana kutimiza nguzo mojawapo ya imani yako..goodgirl
 
HAHAH NIFAH AISEE WE MREMBO ULIADIMIKA...EID UKALA PEKE YAKO.. fanya kunitafute nikupe dhawadi yako umenifurahisha sana kutimiza nguzo mojawapo ya imani yako..goodgirl
Wow! Jamani mbona utaniua kwa furaha? Huku Lowassa huku wewe una zawadi yangu....uwiiiiii!
Nitakutafuta PM mpenzi, thanks in advance.
 
Wanawake kazi tunayo...natakiwa nimsapoti hazbandi, ndio...ni lazima nami nipewe kadi? Nsijejikuta kila pochi ina kadi yake, wakati hiyo siasa sina a wala be nayo...
Imeandikwa....mwanamke atawaacha wazazi wake, ataambatana na mumewe.
Na kuambatana huko ndio huku sasa mamii.
 
Wow! Jamani mbona utaniua kwa furaha? Huku Lowassa huku wewe una zawadi yangu....uwiiiiii!
Nitakutafuta PM mpenzi, thanks in advance.

sawa ngoja nitafute funguo ya pm only for u...
 
attachment.php
 
Mmmmmmh mke wangu tuinue tu hizi kadi lakini nakuambia sasa hivi nitakimbizwa ICU Ujerumani kwa matibabu kwani mpaka sasa Apson Mwang'onda keshanitafutia maadui zaidi ya marafiki. Utaniagia Monduli Mama Fredy sawa?

Hahaha hawezi kusema hivyo
 
Ninyi wa wadada nifah na charty nimewakubali, naona mmekomaa zis taim magamba wataimba haleluya kuu.

Au mna hasira za kupigwa chini na Magamba kwenye Vitu Maalum???
 
Jamani lowasa umefanya maamuzi magumu sana wengine hawataki kuondoka kwa kuogopa pia kuhofia masilahi binafsi.
Hongera sana kwa hlo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom