Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mbona yeye Wenje mambo hayako shwari jimboni kwake?
wewe nyumbani kwako ni shwari?
Mbona yeye Wenje mambo hayako shwari jimboni kwake?
Si shwari, ndio maana sina ujasiri wa kusimama hadharani kuwakosoa wenginewewe nyumbani kwako ni shwari?
Majimbo yote ya mwanza yanarudi ccm 2015 wanamwanza wamechoka na migogoro yenu wana cdm
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Bwana akikuweka huru unakuwa huru kweli kwel. Haijalishi uko wapi.Nafikiri hao watu wasingekuwa wanahudhuria. Sasa mbona wanahudhuria mikutano yao bila hata ya kusombwa na maroli? Bila hata ya kupewa khanga na vitenge? Bila hata ya kupikiwa pilau? Bila kusombwa mashuleni na viwandani kama tufanyavyo cc ccm?Haya ndiyo mambo ya viashiria tunavyopaswa Kuviangalia na kutambua kwamba Watanzania wametuchoka CCM. Tunashinda kwa msaada wa tbc, polisi, rushwa na vitisho vya shimbo. Nakuambia ukiachia wananchi waamue kwa utashi wao sisi wametuchoka. Mpaka naombea Mungu nisipangwe kwenye hizi ziara za Ccm na Kinana.
Hata mfanye vipi Chadema hamuwezi kuchukua Jimbo la Geita, waulizeni Cuf mwaka 2005 kilichowapata na hata nyie mwaka 2010.
Nani kakuambia? Umbea wa kisiasa huo hauna manufaa kwa wananchi wa kawaidaMbona yeye Wenje mambo hayako shwari jimboni kwake?
Liko wapi hilo duka? Nijuavyo vinywaji ndo wanauziwa bila kodi kwa maana imeonekanna askari polisi wameonekana ni walevi, Wakati JWTZ shop lao hadi sement unapata mpaka pipi. Acheni siasa za ushabiki,Askari Polisi tayari wanayo maduka hayo kama ya JWTZ ya Duty free shops!, jihadharini na mchezo wa kuchukua Skrepa za kisiasa toka CCM!
Majimbo yote ya mwanza yanarudi ccm 2015 wanamwanza wamechoka na migogoro yenu wana cdm
akili ya kimagamba sasa ni jimbo gani tunaweza kuchukua kama Geita hatuwezi? mbona haujawahi kutabiri majimbo ambayo chadema wanaweza kuchukua unatabiri ambayo hatuwezi tu???au utababiri wako unaona pale ambapo hatuwezi tu.
Kwa sababu majimbo yote yenye utajiri wa asili CCM haiwezi kuruhusu myachukue, si unaona hata kilichotokea Tarime ambayo ina dhahabu. Na majimbo mengine kama Kahama na mengine mengi yaliyo na utajiri wa asili, hata iweje hayatachukuliwa na wapinzani maana wanaweza wakauza mliasili zetu.akili ya kimagamba sasa ni jimbo gani tunaweza kuchukua kama Geita hatuwezi? mbona haujawahi kutabiri majimbo ambayo chadema wanaweza kuchukua unatabiri ambayo hatuwezi tu???au utababiri wako unaona pale ambapo hatuwezi tu.
Naweza ifananisha, CHADEMA ya 2012 ina wabunge takribani 50, lakini ya mwaka 2015 haitafikisha hata wabunge 10.hivi tanzania ya mwaka 2012 unaweza ilinganisha na tanzania ya 2005 hakika ni ***** kama wewe ndiyo unaweza ifananisha..halafu CUF na CDM ni vitu viwili tofauti..