lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Mkuu wa wilaya ya butihama amefunga mgodi wa dhahabu, unaomilikiwa na wachimbaji wadogo wadogo na kumkabidhi mchimbaji mkubwa mmoja kwa madai huo mgodi ni wake, baada ya agizo hilo ndipo mwenyeketi wa ccm wilaya ya butihama alipoingilia kati na kakataa wananchi wasiporwe mgodi huo, katika tukio hilo nusura mkuu huyo wa wilaya azichape ngumi kavu kavu na mwenyekiti huyo wa ccm