warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Shoga kidawa nae siku hizi Naona anarudi kwa kasi ya Corona, mbona anakua mzuri hivi, halafu ana mvuto wa ajabu, yan karudi kwenye level zake zile za miaka ya 2006/17. Sijui shoga angu kapata danga jipya au ndo mambo ya Tanga( ila mi nae mshirikina) .
Tunajua kuna mambo ya I phone 11 na editing , but tuseme tu ukweli, wema anarudi kwenye level zake, ingekua simu zinabadilisha watu hivyo shoga angu ebitoke nae angekua kama Beyoncé
Kwa huu muonekano domo asipokumbushia enzi Sijui , kusema kweli wema kabadilika kawa mzuri , tena wembamba now umemfit
zaidi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tunajua kuna mambo ya I phone 11 na editing , but tuseme tu ukweli, wema anarudi kwenye level zake, ingekua simu zinabadilisha watu hivyo shoga angu ebitoke nae angekua kama Beyoncé
Kwa huu muonekano domo asipokumbushia enzi Sijui , kusema kweli wema kabadilika kawa mzuri , tena wembamba now umemfit
zaidi
Sent from my iPhone using JamiiForums