OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,912
Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
Unategemea nini kwa MASKINI na kapuku kama.mleta mada? Ukiwa maskin ndivyo inavyokua athari Hadi kwenye ubongoNgozi nyeusi ina dharaulika sana.
Weusi ni Nyani tuliochangamka.
Kwaheri ukoloni kwaheri uhuru
Kwa akili yako (sina uhakika kama ni kubwa au ndogo) ulidhani Waturuki watafanya kazi zote hadi za vibarua!?Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
View attachment 3335710
Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
View attachment 3335710
Eneo la kuchezea yaani pitch ni mbovu mnoHivi tatizo la kiufundi la uwanja ni nini?
Bilioni 31 zote zimetafunwa na wahuni. Kwa aina hii ya ufisadi, halafu uwaambie watoke madarakani kirahisi tu!Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
View attachment 3335710
Dah!Bilioni 31 zote zimetafunwa na wahuni. Kwa aina hii ya ufisadi, halafu uwaambie watoke madarakani kirahisi tu!
pitch tu? Mbona ni muda sana wameanza marekebisho lkn hawakamilishagiEneo la kuchezea yaani pitch ni mbovu mno
Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
View attachment 3335710
Drainage system haifyonzi maji mengi kwa wakati mmoja,dongo limechakaaHivi tatizo la kiufundi la uwanja ni nini?
Viti elfu 60 ni bei gani mkuu?..tv ya uwanjani?..track za kukimbilia?..pitch?Bilioni 31 zote zimetafunwa na wahuni. Kwa aina hii ya ufisadi, halafu uwaambie watoke madarakani kirahisi tu!
Wataalam kutoka uturuki wakikarabati pitch (eneo la kuchezea ) Benjamin Mkapa stadium
View attachment 3335710
Kwamba unataka kusema hizo 31b zilitumika kwenye kununua viti elfu 60 au?Viti elfu 60 ni bei gani mkuu?..tv ya uwanjani?..track za kukimbilia?..pitch?
Zilisemwa ni za kazi gani ewe papasi?Kwamba unataka kusema hizo 31b zilitumika kwenye kununua viti elfu 60 au?
Aisee nyie machawa ndio mtakuwa wa kwanza kuchomwa moto kabla ya hao mafisadi mnawakingingia kifua pumbavu nyie.
Ni bilioni 31 tu Comrade, pesa za Kitanzania. Nadhani ni pesa ndogo sana kwenye ukarabati wa huo uwanja.Viti elfu 60 ni bei gani mkuu?..tv ya uwanjani?..track za kukimbilia?..pitch?