Huwezi kuboresha mfumo wa afya unaohudumia watanzania mil. 45 kwa usiku mmoja hii ni work in progress serikali imeshasema nini inaendelea kukifanya; madaktari wenyewe wanahusika kuuhumu mfumo wanaouhudumia ; miongoni mwao ndio wadai wakubwa wa rushwa kabla hawajakuhudumia uzalendo huu leo wameutoa wapi? kama wanataka kuwa wanasiasa na wawe wasitutie mchanga wa macho kwa kujifanya wanawatetea watanzania
Chama
Gongo la Mboto DSM
ukistaajabu ya Mussa utayaona ya FirahuniKundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
Mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, Katika hospitali ya Muhimbuli, Dar es Salaam, Helen Thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
Wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika Muhimbili kutaka madaktari waache mgomo
MY TAKE; Hivi Wanaharakati wa MAgamba Vyuo vikuu ni hao tu?
Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu Abubakari Assenga (kushoto), akiwa na Katibu wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Edwin Chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, muhimbili, dar es salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo.
kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu abubakari assenga (kushoto), akiwa na katibu wa jumuia ya madaktari tanzania, edwin chitange, baada ya maandamano ya wanaharakati hao kufika muhimbili kushinikiza madaktari kusitisha mgomo
kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu, abubakar assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo.
mwanamke aliyekuwa akisubiri kuona mgonjwa wake, katika hospitali ya muhimbuli, dar es salaam, helen thomas, akisoma bango lililoachwa na wanaharakati hao wa vyuo vya elimu ya juu.
wanaharakati wa vyuo vya elimu ya juu, wakihanikiza baada ya kufika muhimbili kutaka madaktari waache mgomo
my take; hivi wanaharakati wa magamba vyuo vikuu ni hao tu?