Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
YerewiiiiiMoja kati ya mikoa vichekesho songea huko watu wana roho mbaya sana, Tatizo la wangoni waliamua kukwapua wanawake wa makabila mengine akili ndogo
Kipindi cha uchaguzi akina Mama wa huko wanakata mauno tu kwa ccm
Hariri maandiko yako uelewekehiki toka pesa kujenga una lalamika.sijui nikuweke haina gani ya mswahili wa manzese
Hariri maandiko yako uelewekehiki toka pesa kujenga una lalamika.sijui nikuweke haina gani ya mswahili wa manzese
SureArusha. Upinzani kibao maendeleo kibao. Kilimanjaro CHADEMA kibao lami hadi vyooni. Hamjaliona hili ?? Chagua CHADEMA. chagua maendeleo
Duhdeleted
Tunapatikana karibu na mlima mrefu kupita yote barani Afrika!Nyie ndio wa Chato?
sawa, tuseme upo sahihi....swali: risasi za nini sasa???Mtoa mada unanifanya niamini kuwa hukutoa mada hii kwa lengo jema bali una hasira zako tu na huyo unayedai kuwa Rais wa Chato. Uwanja huu ni kweli wa siku nyingi na tayari serikali imeuingiza kwenye mpango wa ukarabati mkubwa na soon tunategemea utafanyiwa ukarabati huo. Mbali na mpango huo mkubwa, ukarabati mdogomdogo wa mara kwa mara umekuwa ukifanyika kuhakikisha ndege zinatua bila matatizo. Ninavyokueleza haya niko Songea na nina uhakika na ninayoyasema. Acheni uchochezi usio na miguu wala kichwa!! Yote kwa yote Dkt John Pombe Magufuli ndiye Rais wetu na tunamkubali kwa kazi nzuri ya kuyaminya majizi na mafisadi na kututetea wanyonge. Pigeni kelele sisi hapa kazi tu!!
Unamkubali kwa lipi?Mtoa mada unanifanya niamini kuwa hukutoa mada hii kwa lengo jema bali una hasira zako tu na huyo unayedai kuwa Rais wa Chato. Uwanja huu ni kweli wa siku nyingi na tayari serikali imeuingiza kwenye mpango wa ukarabati mkubwa na soon tunategemea utafanyiwa ukarabati huo. Mbali na mpango huo mkubwa, ukarabati mdogomdogo wa mara kwa mara umekuwa ukifanyika kuhakikisha ndege zinatua bila matatizo. Ninavyokueleza haya niko Songea na nina uhakika na ninayoyasema. Acheni uchochezi usio na miguu wala kichwa!! Yote kwa yote Dkt John Pombe Magufuli ndiye Rais wetu na tunamkubali kwa kazi nzuri ya kuyaminya majizi na mafisadi na kututetea wanyonge. Pigeni kelele sisi hapa kazi tu!!
Hivi hiyo stand kuu hapo mjini bado ni ile ile...!??Back in the days uwanja wa Songea ulikua bomba Sana saiv Naona vipara kibao kiukweli umechoka.Da mpaka aibu
Mkuu kama juu kuna round about, ndege ina wezaje kutua? au ndio mambo ya jadi?Hahahahahaa WA Sumbawanga si ndio Uko jirani na Main Road ukielekea Katavi? Halafu jirani kuna Daraja then juu pale kuna Round about
Nasikia ipo Msamala ila ile ya pale town gari zinaanzia pale sijaenda kama 2 yrs now.Hivi hiyo stand kuu hapo mjini bado ni ile ile...!??
Siyo kutelekezwa bali ni stahiki yenu hiyo. Hamhitaji lolote la maendeleo labda manju wa ngoma yenu ya lizombe apelekwe ng'ambo kujifunza mbinu mpya. Kazi yenu kucheza ngoma mbele zao ili watikise vichwa na kuwapigia makofi inatosha mno!Mkoa mzima wa Ruvuma hamna mbunge wa upinzani. Kura zote tuliwapa CCM Na hiyo ndio shukrani yao.
Sisi ni among top four feeders wa nchi hii, Chato Haina mchango wowote lakini wao wanapelekewa Kila kitu, traffic lights, international airport, hospital ya rufaaa etc sisi Wana Lizombe tumetelekezwa mavumbini
Tunacheketua viuno vyetu lakini wao wanatuacha mavumbiniSiyo kutelekezwa bali ni stahiki yenu hiyo. Hamhitaji lolote la maendeleo labda manju wa ngoma yenu ya lizombe apelekwe ng'ambo kujifunza mbinu mpya. Kazi yenu kucheza ngoma mbele zao ili watikise vichwa na kuwapigia makofi inatosha mno!
Endeleeni kuwasifu kwa nyimbo na tarumbeta na anzisheni kikundi kingine cha TOT B ikibidi!
Shamba la mbigiriKwa haraka haraka nilijua hapo ni shamba limeandaliwa kwa ajiri ya kupanda maboga, Ruvuma endeleeni kutuvumilia mpaka mtakapopata akili ndio myafikiriwa