Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
- Thread starter
- #141
Hizo bombadia mpya zinazokuja zinatua hadi Kariakoo, posta Na ferry. Halafu unaambiwa zitakuwa hazina rubani kwa kizungu droni.Uzuri ni kwamba Bombadier zinatua hata msituni .
Hata kama kwenu Tandale inakufikisha, yaani ni kama Uber taxi