Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

27331759_1731273720262481_3408305987825557482_n.jpg

Jamani huu uwanja si salama kwa Abiria wanaoutumia, pia si salama ka ndege Na wahudumu wake.
Tunachokitafuta tutakipata siku si nyingi.
CCM tuwape nini mridhike? Kama ni kura mbona zote tunawapeni? Tuoneeni huruma, Rais wa Chato ndio Rais wa Songea pia, sisi hatuna Rais mwingine kama kule Mbeya.
Dah ..kunyumba huko!! Hatuna namna tutapanda tu hizi hizi superfeo.. ndio usafiri wetu bwana
 
Kama huu ni uwanja wa ndege. Basi Tanzania tuna viwanja vya ndege kama milioni hivi
 
Mkoa mzima wa Ruvuma hamna mbunge wa upinzani. Kura zote tuliwapa CCM Na hiyo ndio shukrani yao.
Sisi ni among top four feeders wa nchi hii, Chato Haina mchango wowote lakini wao wanapelekewa Kila kitu, traffic lights, international airport, hospital ya rufaaa etc sisi Wana Lizombe tumetelekezwa mavumbini
Lakini si mna timu ya mpira inaitwa Majimaji??
 
Mkoa mzima wa Ruvuma hamna mbunge wa upinzani. Kura zote tuliwapa CCM Na hiyo ndio shukrani yao.
Sisi ni among top four feeders wa nchi hii, Chato Haina mchango wowote lakini wao wanapelekewa Kila kitu, traffic lights, international airport, hospital ya rufaaa etc sisi Wana Lizombe tumetelekezwa mavumbini
wasalimie mgazin,sinai,
 
27331759_1731273720262481_3408305987825557482_n.jpg

Jamani huu uwanja si salama kwa Abiria wanaoutumia, pia si salama ka ndege Na wahudumu wake.
Tunachokitafuta tutakipata siku si nyingi.
CCM tuwape nini mridhike? Kama ni kura mbona zote tunawapeni? Tuoneeni huruma, Rais wa Chato ndio Rais wa Songea pia, sisi hatuna Rais mwingine kama kule Mbeya.
Sijui kwanini mkoa wetu kimaendeleo unaachwa sana miaka nenda rudi tuko nyuma kimaendeleo japo tunachangia pato kubwa la taifa
 
Nadhani CCM sio tatizo, tatizo ni sisi wananchi
Ok,iawezekana ni sisi wenyewe kivipi mkuu!nisaidie kujua maana inaumiza kuona mikoa mingine maendeleo wako juu sie miaka nenda rudi tuko vilevile
 
Ok,iawezekana ni sisi wenyewe kivipi mkuu!nisaidie kujua maana inaumiza kuona mikoa mingine maendeleo wako juu sie miaka nenda rudi tuko vilevile
Kama mazingira yetu ni mabovu Na tunayafurahia, kwanini tuilaumu CCM tusijilaumu sisi kwa kuainisha shida zetu Na vipaumbele vyetu?
 
27331759_1731273720262481_3408305987825557482_n.jpg

Jamani huu uwanja si salama kwa Abiria wanaoutumia, pia si salama ka ndege Na wahudumu wake.
Tunachokitafuta tutakipata siku si nyingi.
CCM tuwape nini mridhike? Kama ni kura mbona zote tunawapeni? Tuoneeni huruma, Rais wa Chato ndio Rais wa Songea pia, sisi hatuna Rais mwingine kama kule Mbeya.
Okay
 
Back
Top Bottom