Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,023
- 2,231
Kudaaadeki waambie hawa wanadhani kilimo lele mama. Mi nishazika 5.5 million baadae 1.4 million natamani hadi kulia.HAMTOKI.
Pamba? Kilo moja Tsh 180! Hafu hapo hiyo high quality. Hafu unajua hadi pamba iwr kilo moja ni ujazo gani? Hahaa hah!
Hafu utahitaji kuwekeza pesa ndefu kidogo hapo. Kukod.shamba si.chini ya Hekari 5, madawa, mbegu, vibarua, aaagghh!!!