Picha: Usahili post ya Mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji - Uwanja wa Taifa

Ila of course kwa kesi kama hii TAKUKURU wanahitaji angalau miaka kama 20 hivi kuchunguza..., tuwe na subira..!
 
Hii haikwepeki kwa mifumo ya sasa ya maisha.
Kila binadamu ni mbinafsi .
Na ubinafsi mkubwa unajitokeza kwa wasomi wa karne hii. Ndio maana ukikaa Dar es salaam utakuta foleni ndefu ya magari madogo zaidi ya 300 lakini yana mtu mmoja mmoja = na watu 300 tu ambao kama wangepanda basi la abiria 45 seat level ingekua ni basi 7 tu.
Wasomi wamesambaratisha kabisa undugu tuliokua nao kwa kupenda maisha ya starehe na ufahari.

Kuna mtu ametoa mifano ya China na Japani lakini amesahau kwamba wale wana mifumo inayojenga undugu na kuaminiana.
Leo hii mtoto wa jirani yako akipata ajira anachoangalia ni namna ya kutoka kimaisha kwa muda mfupi na sio kuwahudumia watu kwa haki ili watu waone kwamba hata kama hujulkani unaweza ukapata huduma bora.
Tena akitaka kujenga anatafuta eneo la mbali kabisa na watu maskini ,fensi kubwa na hata kama ana bomba la maji hatoi hata kwa kuuza.Tofauti na hao wachina ambao wanajenga mjengo marefu na wanakaa pamoja kama familia moja . Imefikia watu wanajenga kwenye maeneo ya miji kikabila.

Matokeo yake watu wanarithishana ajira.
Hii iko idara zote mpaka kwnye siasa.

Hivyo tusiwalaumu wale waliopata fursa ya kuwarithisha watoto wao ajira za uhamiaji. Tena kwa nafasi za chini ,constable ambapo wengi ni wale form 4 hivyo kusema hapo kuna vichwa vilivyopigwa chini ni kudanganya watu.
Nina uhakika mishahara yao ni midogo sana ,rushwa tu ndio inawatoa hao maconstable.
Watu wanalia kwa kukosa fursa ya kwenda kula rushwa sio huo ukonstable wa sh.280,000/=

Rushwa na wizi makazini ndio kinachowafanya watu wengi kukimbilia hata kazi zenye mishahara ya kima cha mbuzi .
 
Ninasikitikia Tz...unajua South East Asia wametoka kwa sababu ajira serikalini inaheshimika saaana na ina base kwenye competency na wanaajiri vichwa walobaki ndio wanaenda private sector....

Ikija kwenye mikataba hizi nchi huwezi kuzidanganya hata uwe mmarekani...siongei tu msomeni Peter Evans: Developmental state

Mfano wamarekani walishindwa kabisa ku penetrate soko la Japan kwa kuwa mjapan ni mtu wa kuzungusha mpaka ukate tamaa...aamini mtu...hasa mzungu...

ningepewa uraisi miaka 5 tu mngejua kuwa Tz tunaweza kuendelea...maana nina wasiwasi na uwezo wa wenye vyeo vya juu serikalini...can they bargain? maana tuwahurumie jamani...si kila bao tunalopigwa ni rushwa...uwezo mwanawane uwezo mdogo....

Unakuta wanauliza...nisaini wapi...anaanguka tu page by page bila kusoma...
Hata ukipewa nchi kwa mfumo huu huwezi. Huu mfumo umeoza nje ndani. Haya mambo ya undugunaizesheni yapo sana yaani ni shida. Wewe unafikiri kwa nini watanzania wengi ambao ni vichwa hasa wako nje?
 
Lol huyo no 1 namfahamu na huyo ni farst born wake yani nimechoka kabisa itakuwa uhamiaji family.
 
Hii nchi taabu tupu. Tusio na ndugu kwenye nafasi za juu tufanye mpango wa kujiajiri na tuwe chachu ya mabadiliko kuondoa huu udhalimu.
 
Hii haikwepeki kwa mifumo ya sasa ya maisha.
Kila binadamu ni mbinafsi .
Na ubinafsi mkubwa unajitokeza kwa wasomi wa karne hii. Ndio maana ukikaa Dar es salaam utakuta foleni ndefu ya magari madogo zaidi ya 300 lakini yana mtu mmoja mmoja = na watu 300 tu ambao kama wangepanda basi la abiria 45 seat level ingekua ni basi 7 tu.
Wasomi wamesambaratisha kabisa undugu tuliokua nao kwa kupenda maisha ya starehe na ufahari.

Kuna mtu ametoa mifano ya China na Japani lakini amesahau kwamba wale wana mifumo inayojenga undugu na kuaminiana.
Leo hii mtoto wa jirani yako akipata ajira anachoangalia ni namna ya kutoka kimaisha kwa muda mfupi na sio kuwahudumia watu kwa haki ili watu waone kwamba hata kama hujulkani unaweza ukapata huduma bora.
Tena akitaka kujenga anatafuta eneo la mbali kabisa na watu maskini ,fensi kubwa na hata kama ana bomba la maji hatoi hata kwa kuuza.Tofauti na hao wachina ambao wanajenga mjengo marefu na wanakaa pamoja kama familia moja . Imefikia watu wanajenga kwenye maeneo ya miji kikabila.

Matokeo yake watu wanarithishana ajira.
Hii iko idara zote mpaka kwnye siasa.

Hivyo tusiwalaumu wale waliopata fursa ya kuwarithisha watoto wao ajira za uhamiaji. Tena kwa nafasi za chini ,constable ambapo wengi ni wale form 4 hivyo kusema hapo kuna vichwa vilivyopigwa chini ni kudanganya watu.
Nina uhakika mishahara yao ni midogo sana ,rushwa tu ndio inawatoa hao maconstable.
Watu wanalia kwa kukosa fursa ya kwenda kula rushwa sio huo ukonstable wa sh.280,000/=

Rushwa na wizi makazini ndio kinachowafanya watu wengi kukimbilia hata kazi zenye mishahara ya kima cha mbuzi .

Hii iko deep sana, Kula Like Mkuu
 
Hii haikwepeki kwa mifumo ya sasa ya maisha.
Kila binadamu ni mbinafsi .
Na ubinafsi mkubwa unajitokeza kwa wasomi wa karne hii. Ndio maana ukikaa Dar es salaam utakuta foleni ndefu ya magari madogo zaidi ya 300 lakini yana mtu mmoja mmoja = na watu 300 tu ambao kama wangepanda basi la abiria 45 seat level ingekua ni basi 7 tu.
Wasomi wamesambaratisha kabisa undugu tuliokua nao kwa kupenda maisha ya starehe na ufahari.

Kuna mtu ametoa mifano ya China na Japani lakini amesahau kwamba wale wana mifumo inayojenga undugu na kuaminiana.
Leo hii mtoto wa jirani yako akipata ajira anachoangalia ni namna ya kutoka kimaisha kwa muda mfupi na sio kuwahudumia watu kwa haki ili watu waone kwamba hata kama hujulkani unaweza ukapata huduma bora.
Tena akitaka kujenga anatafuta eneo la mbali kabisa na watu maskini ,fensi kubwa na hata kama ana bomba la maji hatoi hata kwa kuuza.Tofauti na hao wachina ambao wanajenga mjengo marefu na wanakaa pamoja kama familia moja . Imefikia watu wanajenga kwenye maeneo ya miji kikabila.

Matokeo yake watu wanarithishana ajira.
Hii iko idara zote mpaka kwnye siasa.

Hivyo tusiwalaumu wale waliopata fursa ya kuwarithisha watoto wao ajira za uhamiaji. Tena kwa nafasi za chini ,constable ambapo wengi ni wale form 4 hivyo kusema hapo kuna vichwa vilivyopigwa chini ni kudanganya watu.
Nina uhakika mishahara yao ni midogo sana ,rushwa tu ndio inawatoa hao maconstable.
Watu wanalia kwa kukosa fursa ya kwenda kula rushwa sio huo ukonstable wa sh.280,000/=

Rushwa na wizi makazini ndio kinachowafanya watu wengi kukimbilia hata kazi zenye mishahara ya kima cha mbuzi .

Mkuu u are right but in a wrong direction, not practical in my country
 
Bila shaka leo hawa vijana wanaanza usaili wao pale Taifa. Mungu awatangulie na wawe tayari kwa lolote ninawaombea sana wale wasio na baba,mama, shangz,mjomba, kaka, dada nk.

Yani wasio na mchongo kama mimi mana shetani ameshikilia sana uonevu kwetu katika maswala ya ajira.

Mungu awatangulie

TUTAKAPOAMKA TUJADILI HILI:Watu maelfu walihenyeshwa pale Uwanja wa Taifa kwenye 'INTAVYUU' ya nafasi 70 zilizotangazwa na Serikali huku WATAHINIWA wakiwa maelfu....Wale watahiniwa 70 waliofanikiwa INTAVYUU HIYO wamepatikana LAKINI kasheshe ni pale ambapo karibu NUSU ya waliochaguliwa kuwa ni aidha WATOTO WA au NDUGU WA Vigogo wa Idara ya Uhamiaji...Kwa kifupi Nyie mnaomba kazi weee kumbe wao wameshapeana kwa KUJUANA....Listi kamili ni hii hapa chini;
9. Joseph A. Milambo - mtoto wa
Karani wa Uhamiaji Milambo
10. Michael J. Choma – mtoto wa Afisa
Uhamiaji John Choma
11. Shimba H Zakayo – mtoto wa Afisa
Uhamiaji Zakayo Mchele
12. Upendo E. Mgonja - mtoto wa Afisa
Uhamiaji Mgonja
13. Vaileth A. Kidesu – mtoto wa Afisa
Uhamiaji Adam Kidesu
14. Elizabeth Edward – Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Edward Martin
15. Ester Mahirane – Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Mahirane
16. Basil Lucian John – Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Dismas Lucian
17. Frank E Kajura- Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Kajura
18. Jacob P. Ulungi – Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Magnus Ulungi
19. Janeth John Milinga – Ndugu wa
aliyekuwa Afisa Uhamiaji Milinga
20. Janeth R Lukuwi – Ndugu wa Afisa
Uhamiaji Eliza Lukuwi
21. Joseph N. Yondani – Mtoto wa Afisa
Uhamiaji Mary Yondani
22. Leila khatib Irovya - Mtoto wa Afisa
Uhamiaji Abbas Irovya
23. Lucian F. Mlula – ndugu wa Afisa
Uhamiaji Dismas Mlula
24. Neema Kasian Lukosi- Ndugu wa
Afisa Uhamiaji Zubeda Abbas
25. Pendo D. Gambadu – ndugu wa
Afisa Uhamiaji Gambadu
26. Paschalia E. Mwenda – ndugu wa
Martin Edward mwenda
27. Theresia Ernest Kalunde – Mtoto wa
Ernest Kalunde
28. Veronica G Vitalis – Mtoto wa
aliyekuwa Afisa Uhamiaji Vitalis
Mlay
29. Victor G. Mlay- Mtoto wa aliyekuwa
Afisa Uhamiaji Vitalis Mlay
30. Catherine J. Mapunda- mtoto wa
Afisa Lucy Mapunda
Hii ni sampuli tu yaani nimeorodhesha
moja ya tatu tu kwani zaidi ya asilimia
tisini ni watoto na ndugu wa Maafisa
Uhamiaji.
Nadhani ingekuwa vyema wasingekuwa
wanatangaza nafasi hizi bali wawe
wanagawiana ndani kwa ndani.
TUONANE ASUBUHI...
 
Back
Top Bottom