Hiyo ni moja wapo tu ya sababu ya kuvaa Miwani myeusi kwa walinzi na haina maana eti ukitoa hiyo faida ya kuzuwia uv light kuvaa hizo Miwani basi hakuna faida nyingine,
Umewahi kuona hata ma body guard wa viongozi wakivaa hizo miwani hata kama hakuna Jua? Au wakiwa ndani ya ukumbi wa mikutano? Lengo la pili ni kama nilivyoeleza kwenye comment yangu huko juu.