Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Sijawahi kufika Mwaza.
Panaonekana pazuri kweli .
May I have the honor of taking takinh the lead of your very first visit in Mwanza?
Sijawahi kufika Mwaza.
Panaonekana pazuri kweli .
The most nice city in Tanzania. Jitahidi ufike hutajuta. Yale maji! Wale samaki sasa! Bichi zake,lol. Mandhari yake kama uko Uphilipino. Nyomi ya watu ni tisha, acha wananzengo kiduchu kwa Magufuri.
Huko MONDULI kumekucha SIMIYU mambo si shwari tena ,kwingineko sikilizia!!!!!!
May I have the honor of taking takinh the lead of your very first visit in Mwanza?
Sijawahi kufika Mwaza.
Panaonekana pazuri kweli .
Umeshasema Wafuasi Wa Ccm Sasa Wewe Ulitalajia Wafuasi Wa Ccm Wampokee Slaa? Na Hao Wanaccm Wapo Myaka Yote Na Sasa Hivi Wanapungua Kwa Kasi Wengine Wanakufa Wengine Wanahama, Huku Vijana Wanaofikisha Miaka 18 Wote Wanaibukia Chadema, Je! Mwaka Huu Mtapona?
Ukweli utakuwepo pale uongo unapojitenga hata tukatae tukubali but maguful atasumbua kanda ya ziwa ndio maana kuna himizwa muungano wa upinzani ili kujiimarisha zaidi
Huo ndio umati wa watu wa mwanza??? Bac ccm wanakazi kubwa sana
Akuna watu hapo waliowengi ni wana Chadema walitoka kumshangaa na wana ccm ni hao tu waliovaa kijani