Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mkuu hujasoma mwanahalisi?
naisoma Hali-halisi.
Mkuu hujasoma mwanahalisi?
Mama mzaa chema lazima akae katikatiNi kweli. Lakini picha ingenogaga kama men angekaa kati kati yao.
Mama ni zaidi ya mke!!!
Hivi kama mke wa Rais ni First Lady mama wa Rais anaitwaje?
Sijui ni mawazo yangu au ni generalization inaonekana jamaa anampenda mama kuliko wife...
Mama ni zaidi ya mke!!!
Hivi kama mke wa Rais ni First Lady mama wa Rais anaitwaje?
Sijui ni mawazo yangu au ni generalization inaonekana jamaa anampenda mama kuliko wife...
Mtu alipata Phd akiwa mbunge na waziri,sina haja ya kuuliza kama alichukua likizo ya Uwaziri na alikuwa halipwi!
Alipoula akatangaza mtu ukienda kusoma hamna kulipwa mshahara na ukirudi unaomba kazi upya,mtatusaidia waimba mapambio hiyoPhd yake aliisoma kwa miaka mingapi!!
''Aint no woman who can take ma mama place''Sijui ni mawazo yangu au ni generalization inaonekana jamaa anampenda mama kuliko wife...
Second ladyMama ni zaidi ya mke!!!
Hivi kama mke wa Rais ni First Lady mama wa Rais anaitwaje?
Mkuu mama hata uumwe vp hawezi kukutenga kwa sababu ni mwanae kakubeba miezi 9 kwa hiyo anajua uchungu wake na akifa huwezi pata mama mwingine tena duniani ILA wife ukipatwa na majanga tu anaweza kukukimbia akaolewa sehemu nyingine na hata akifa unaweza oa mwingine na akakufariji ukaishi kwa amani na kumsahau wa mwanzo. MTOTO KWA MAMA HAKUI, NANI KAMA MAMA.Sijui ni mawazo yangu au ni generalization inaonekana jamaa anampenda mama kuliko wife...
Ni maganda tafadhaliSawa mkuu, kumbe Ph D ya korosho??
Mkuu mama hata uumwe vp hawezi kukutenga kwa sababu ni mwanae kakubeba miezi 9 kwa hiyo anajua uchungu wake na akifa huwezi pata mama mwingine tena duniani ILA wife ukipatwa na majanga tu anaweza kukukimbia akaolewa sehemu nyingine na hata akifa unaweza oa mwingine na akakufariji ukaishi kwa amani na kumsahau wa mwanzo. MTOTO KWA MAMA HAKUI, NANI KAMA MAMA.