Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Hii dunia ipo kasi sana, kama siyo hii dunia ipo kasi, basi mimi nitakuwa nipo slow sana kuendana na kasi ya dunia...
Hii picha imenihuzunisha sana, sasa najiuliza haiwezekana huyu ndama akawekwa safe house kwa mda usio julikana??
Yaani mijamaa kama hii mm huwa naitolea hukumu juu kwa juu, ukiichelewesha mda siyo mrefu mtoto ataharibika, na watu kuanza kumtafuta mchawi....
Hii picha imenihuzunisha sana, sasa najiuliza haiwezekana huyu ndama akawekwa safe house kwa mda usio julikana??
Yaani mijamaa kama hii mm huwa naitolea hukumu juu kwa juu, ukiichelewesha mda siyo mrefu mtoto ataharibika, na watu kuanza kumtafuta mchawi....