Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
BlueBalaa, salama?
Umesalimika kwenye mabomu baada ya mahakama?
Pole kamanda.
Sasa hili la picha za Raisi na Mawaziri vipi tena?
Unatafutia watu ban au? Ngoja nikae kimya, bado napenda kuchangia humu jamvini.
Umesalimika kwenye mabomu baada ya mahakama?
Pole kamanda.
Sasa hili la picha za Raisi na Mawaziri vipi tena?
Unatafutia watu ban au? Ngoja nikae kimya, bado napenda kuchangia humu jamvini.