FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Wewe mama hivi mmeo uwa unamhudumia na kunamtimizia haja zake saa ngapi..kutwa kucha uko JF
Nimhudumie? sisi Waislaam, wanawake tunahudumiwa na waume zetu. Kutwa kucha, kwa raha zangu babu wee, nikiingia chumbani nna ka laptop, nikitoka ukumbini ka ipad, nikitoka nje SG4. Hizo ndio huduma nnazopewa, utayaweza wapi wewe unaengoja mwanamke akuhudumie! unanshangaza!
Mtawapata haohao wasiojuwa maana ya mwanamke ni nini.