The weekend
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 423
- 832
Acha kuchafua watu mzee weka picha tuone wakipigana hata mate
Acha kuchafua watu mzee weka picha tuone wakipigana hata mate
Afadhali umewaambia ukweli,Watanzania tumekalia kuwaza ujinga tu na ubaguzi,watu wana mambo yao sisi tunauliza maswali kwa mtizamo wa kijinga,kazi ya waswahili ni kuombeana mabaya na kuwaza ujinga.Ni kikao cha kibiashara juzi walikua hotel verde, ilikua ziara ya joho alikutana pia na Rais Mwinyi ndio wakaongea na wafanyabiashara.
Range yenyewe alinyanganywa Huddah akapewa yeye.
Nimekuja kugundua, watu wa Kigoma ni magwiji sana kwenye idara ya UCHAWA.Wauza dona hao.
Unamaanisha ommy nae ni bata?Watu na ma boss zao wakila bataView attachment 1723857
True ndio maan siku hizi naingia humu nikiwa free tuIvi ndugu zangu watanzania kwanini tunatumia akili nyingi kufikiri na kujadili vitu visivyokuwa na faida? Mwenzenu anatengeneza pesa
Weee bwana kweli.Range yenyewe alinyanganywa Huddah akapewa yeye.
Betty anakuinspire vipi?
Usicheke wewe.. Joho hanaga mchezo na mali zake.
Yeah...Betty ni moja ya Mwanadada ambaye ana ni- Inspire sana.
Ana vingi vinavyo ni-inspire.Betty anakuinspire vipi?
Kibiashara?
Unataka kuwa prime time news anchor?
Okay..Ana vingi vinavyo ni-inspire.
Kwisha kwanini na kivipi mkuu, tufafanulieUyo mwenye kapelo nyeusi na miwani kama Hassan Joho wa Mombasa?
Kama ni yeye kweli baaaas kwisha.
Wee, ni bwabwa wa joho?Simkandii Bro..
Naandika ninachokijua.. Ommy ni moja ya Msanii anayefanya vizuri. Ila..... Ila.....
Hiyo Issue ya Range mbona inajulikana.
Wewe unaonaje?Wee, ni bwabwa wa joho?
Masikini katikati ya matajiri daah turky umenikumbusha boti zake za zanzibarWatu na ma boss zao wakila bataView attachment 1723857
I think uchawa
Wewe upo kitengo gani kwenye iyo mansion mpaka kuyajua yote haya...
Ni hatari sana.. Akifika kwenye ile Mansion ya Joho yeye ndiyo Final say....
JikoniWewe upo kitengo gani kwenye iyo mansion mpaka kuyajua yote haya...
Kwa ulivyoandika, itakuwa ni chakula, God forbidWewe unaonaje?
Jibu ulikuwa nalo.. Then ulikuwa unauliza kutaka nini?Kwa ulivyoandika, itakuwa ni chakula, God forbid