odinyo
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 429
- 109
Mabati ya nyumba yanafunika vitu vingi sana Smile, so usishangae, si ajabu aliaga anaenda kwenye harusi mara yamemkuta ya kumkuta
ni wa kufa na kuzikana huyo
Mabati ya nyumba yanafunika vitu vingi sana Smile, so usishangae, si ajabu aliaga anaenda kwenye harusi mara yamemkuta ya kumkuta
kwa hiyo ndo akawa anamsaidiaWalikuwa kwenye kikao cha harusi.
Isitoshe huyo mwalimu ni mjane.
Mabati ya nyumba yanafunika vitu vingi sana Smile, so usishangae, si ajabu aliaga anaenda kwenye harusi mara yamemkuta ya kumkuta
kwa hiyo ndo akawa anamsaidia
Jamani umeisha ambiwa ni mjane sasa nae anayo haki ya kibinadamu kumpenda mtu yeyote katika roho yake, na kama mwalimu ni mjane ndio mtakuja kubaliana nami kuwa kifo cha kamanda sio cha mwanamke ni visasi fulani hivi
Vikao vya harusi siku hizi mpaka saa nane, haya....fumbo afumbiwe mjinga...:spy:
Hata hivyo jamaa amefaidi sana, hadi saa 8 na nusu usiku! Hah hah hah haaa
Msipende assumptions kila mara.
Usiku ndio.....Walikuwa kwenye kikao cha harusi.
Isitoshe huyo mwalimu ni mjane.
Msipende assumptions kila mara.
Usiku ndio.....Walikuwa kwenye kikao cha harusi.
Isitoshe huyo mwalimu ni mjane.
Msipende assumptions kila mara.
Usiku ndio.....Walikuwa kwenye kikao cha harusi.
Isitoshe huyo mwalimu ni mjane.
jamani..itabidi mnilipe sasa maana nimeshafafanua vya kutosha.Jibu langu lilikua linajibu hoja ya "mke wa mtu............."..Dadavua vizuri Tausi kikao cha harusi usiku wa manane? so km ni mjane anaruhusiwa kutoka kikao cha harusi ucku wa manane na mwanaume asiye mumewe?
jamani..itabidi mnilipe sasa maana nimeshafafanua vya kutosha.Jibu langu lilikua linajibu hoja ya "mke wa mtu............."..
Someni basi mtiririko kabla ya kuanza kuuliza maswali yaleyale
Hahahaha, am sor mtiririko sikuufuatilia ipasavyo, nisamehe bure nisipate invoice ya kulipia
Nimependa ustaarabu wako..hivyo sitakutoza