PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

Hakuna wa kupanda hayo mapanga shaa.hivi kwa mfano panga limekatika au kugoma kuzunguka juu si litaua watu?.hayo mapanga hapana kwa kweli
hahahaa itakuwa kama ile movi ya the gods must be crazyy
 
Wee wawapi? CV ndio kitu gani...unayo habari walioua hii NCHI nihao mlioamini CV zao!
Kwa akili yako wewe CV ni yule Makaratasi? Kikubwa kinachukuuma labda huyo Jamaa aliyeteuliwa siyo wa chama chako. Acha watu wafanye kazi Acha majungu yako.
 
miTANGANYIKA nirahisi kuitawala sababu inaamini Maneno matupu...wakiona Pamflet ya CV wanadhani MTU anajua kazi
CV siyo katarasi. Kinachukuuma huyu Jamaa ametokea chama usichokipendana, ingekuwa ametokea ule upande wenu hule sasa hivi mngekuwa mnatoka povu kutetea. Mh. Raisi anajua nini anachokifanya. Huyo kindamba ni mtu wa kazi sana. Kaa chini subiri watu wafanye kazi.
 
Mkuu umetoa maelezo mengi lkn napenda kukujibu hapo mwisho kuhusu weledi wa Menejiment...Mhe,,alishatangaza hatalipa MTU mshahara unaozidi 15ml...hebu niambie kwa Mshahara huo utapata Menejiment gani ya maana yakuendesha Shirika kwa Ufanisi matokeo yake ndio hivyo kuchagua makada Mpaka hapo bado unategemea jambo jipya? nyie mnadhani watu wanaichukia Serikali NO....inajitakia yenyewe!
Nyinyi siku zote ndio mlikuwa mnalalamika watu wanalipwa mishahara mkubwa, Mh. Raisi ameliona analifanyia kazi mnaanza kutunga mengine. Watu wa ajabu ajabu sana.
 
Tatizo ATCL wanateuana kwasababu ya kuwa na kadi ya CCM.
Utaalamu unawekwa pembeni.
Pamoja na kuwa na jeuri ya fedha, UAE walimchukua Clark kuisimamisha Emirates ambayo leo ni moja ya shirika linalokuja kwa kasi sana duniani.
Walianza na mtaji wa $10Milion na ndege moja ya kukodi toka Pakistani mwaka 1985. Leo hii wana ndege walau 200+ na wapo kwenye destinations almost 150+.
Biashara ya ndege sio mchezo.
Matatizo ya ATC hayana uhusiano wowote ule na siasa za ccm. ukiangalia lilipoanzishwa lilitumia wataalam wale wale waliotoka EAA ambako nako waliheshimiwa sana. Na waliporudi serikali ikawa inawategemea wao waliendeshe.
Adui yao namba moja ilikuwa kuwekeana vitina wao kwa wao. Mzee Rwebangira alipigwa vita na wenzake kwa sababu ya vyeo. Baada ya hapo wakaanza kuingizana kazini kirafiki/ndugu na mwishowe hao hao wafanyakazi ndiyo walikuwa abiria wakuu wa kwenda nje kununua bidhaa [hasa kina mama]. Kuna wengine walikuwa wanatumia muda mwingi kusafiri kwa shughuli binafsi kuliko kazini.
Ninakumbuka kisa kimoja -Nilisafiri na ATC kwenda J'burg na wakati nataka kurudi staff wa ATC Jburg wakaniarifu kuwa ndege yao imejaa ila ninaweza safiri na ndge ya SA. Mimi nilikataa na nikasisitiza kuwa nilikuwa na cfmd booking ya ATC lakini dada yangu huyo alishikilia kuwa ndege imejaa. ili kufupisha kisa hiki, mwishowe nilifanikiwa kurudi na ndege
ya ATC lakini cha kushangaza iliondoka na abiria karibu nusu tu na sehemu kubwa ilikuwa haina abiria.
Vitu kama hivi ndivyo na vinginevyo viliendelea kama cancer na mwishowe shirika limefika lilipofikia.
 
Akutukanae hakuchagulii tusi, naona fast jet wameamua hivo
 
panga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa

Sijui kama biashara kuyumba ni sababu ya kubadili ndege kutoka A319 mpk E190,mi naona jamaa wanajiandaa kimkabili 'mapanga shaaa' a.k.a ATCL maana hizo ndege za sasa za fastjet A319 zinatua viwanja 4 tu Dar,mwanza,Kilimanjaro na mbeya(songwe),ila hizo E 190 zinaweza kwenda Bukoba,Arusha,Mtwara,Tabora,Kigoma,Musoma na Dodoma kwahiyo mapanga shaa wajiandae.
HILI JINA LA MAPANGA SHAA LINANCHEKESHA SANA!
 
Tanzania matatizo mengi, Mhe Ndalichako kazi bado kubwa anayo, hiv unapolalamika anachagua chama cha kijani ulitaka achaguliwe nani zaidi yao, kama waona una sifa zaid ya waliochaguliwa jiunge na kijan uchaguliwe, baada ya kulalamika omba katiba ibadilishwe ili upate izo nafasi, mana katiba ishasema chama kinachoshinda uchaguz ndicho kinachounda serikali ss ww watakaje, tuende tofauti na katiba, sema tuivunje kayiba ama? Somen katiba muielewe nyie BAVICHA sio kulalamika hapa bila sababu za msingi, mngeshinda nyie mngetupa izo nyazifa ambao yunazo au??????
 
wewe ndio utakuwa wa ajabu hivi tunashindwa hata na burundi? sisi na. mapanga shaa wenzetu kila kukicha vita lakini wana mijidege ya kubeba abiria 200 kichwa changu
Kwaiyo kwa akil zako za maandaz izo ingekuwa ww ndo una dhamana ungetushushia Boeing na Airbus halafu zingetua ktk viwanja vingap hapa bongo, watu wanawaza mbal sana kuzid upeo wako wa kufikilia, pole sana
 
Kwaiyo kwa akil zako za maandaz izo ingekuwa ww ndo una dhamana ungetushushia Boeing na Airbus halafu zingetua ktk viwanja vingap hapa bongo, watu wanawaza mbal sana kuzid upeo wako wa kufikilia, pole sana
sipotezi nguvu kukujibu hapa panatosha
 
View attachment 405754 Kampuni ya ndege ya Fastjet imepanga kuingiza nchini ndege moja jamii ya Embraer 190 ili kukabiliana na hali ngumu ya sasa ya kibiashara.

Jana Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, John Corse amesema ndani ya wiki mbili zijazo wataingiza ndege mpya katika safari zake ikiwa ni sehemu ya majaribio ya kutekeleza mkakati wa mabadiliko C&P MCL.View attachment 405750 View attachment 405751
Hapa umeweka picha ya mfano, ama ndege yenyewe ndiyo hii kwenye picha?
 
Matatizo ya ATC hayana uhusiano wowote ule na siasa za ccm. ukiangalia lilipoanzishwa lilitumia wataalam wale wale waliotoka EAA ambako nako waliheshimiwa sana. Na waliporudi serikali ikawa inawategemea wao waliendeshe.
Adui yao namba moja ilikuwa kuwekeana vitina wao kwa wao. Mzee Rwebangira alipigwa vita na wenzake kwa sababu ya vyeo. Baada ya hapo wakaanza kuingizana kazini kirafiki/ndugu na mwishowe hao hao wafanyakazi ndiyo walikuwa abiria wakuu wa kwenda nje kununua bidhaa [hasa kina mama]. Kuna wengine walikuwa wanatumia muda mwingi kusafiri kwa shughuli binafsi kuliko kazini.
Ninakumbuka kisa kimoja -Nilisafiri na ATC kwenda J'burg na wakati nataka kurudi staff wa ATC Jburg wakaniarifu kuwa ndege yao imejaa ila ninaweza safiri na ndge ya SA. Mimi nilikataa na nikasisitiza kuwa nilikuwa na cfmd booking ya ATC lakini dada yangu huyo alishikilia kuwa ndege imejaa. ili kufupisha kisa hiki, mwishowe nilifanikiwa kurudi na ndege
ya ATC lakini cha kushangaza iliondoka na abiria karibu nusu tu na sehemu kubwa ilikuwa haina abiria.
Vitu kama hivi ndivyo na vinginevyo viliendelea kama cancer na mwishowe shirika limefika lilipofikia.
Na Joburg ilitumika vizuri tu na mkakati mzima wa kuiua ili SAA wanunue
 
interesting....

mapanga shaa yatakuwa kama gazeti la uhuru na channel ya TBC
 
Back
Top Bottom