PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

Kwa akili yako wewe CV ni yule Makaratasi? Kikubwa kinachukuuma labda huyo Jamaa aliyeteuliwa siyo wa chama chako. Acha watu wafanye kazi Acha majungu yako.
Akili uliyonayo inakutosha kuvukia Barabara na kujua ulipo mlango wa Chooni tu..kuna kz gani yamaana iliyofanywa mpaka sasa!
 
View attachment 405754 Kampuni ya ndege ya Fastjet imepanga kuingiza nchini ndege moja jamii ya Embraer 190 ili kukabiliana na hali ngumu ya sasa ya kibiashara.

Jana Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, John Corse amesema ndani ya wiki mbili zijazo wataingiza ndege mpya katika safari zake ikiwa ni sehemu ya majaribio ya kutekeleza mkakati wa mabadiliko C&P MCL.View attachment 405750 View attachment 405751
Una maana gani kusema hizo ni ndege "mpya".
They look very old to me.
 
Nyinyi siku zote ndio mlikuwa mnalalamika watu wanalipwa mishahara mkubwa, Mh. Raisi ameliona analifanyia kazi mnaanza kutunga mengine. Watu wa ajabu ajabu sana.
Mkuu unatumia nini kufikiri Umeshawahi kuona ID yangu inalalamikia Watu kulipwa mishahara mikubwa humu....au unakariri...MTU alipwe kutokana na umuhimu wake...kwaakili yako unamkabidhi mtu Shirika lenye maBilions ya Shilingi kisha unamlipa 15ml nabado unategemea alisaidie hilo Shirika lishindane na watu waliojipanga..ndio maana mnateuana kwa Sifa yakuvaa Nguo za kijani MTU anaejua thamani yake ningumu kumpata! Tatizo lenu kila mahari mnataka kufanya Majaribio
 
Matatizo ya ATC hayana uhusiano wowote ule na siasa za ccm. ukiangalia lilipoanzishwa lilitumia wataalam wale wale waliotoka EAA ambako nako waliheshimiwa sana. Na waliporudi serikali ikawa inawategemea wao waliendeshe.
Adui yao namba moja ilikuwa kuwekeana vitina wao kwa wao. Mzee Rwebangira alipigwa vita na wenzake kwa sababu ya vyeo. Baada ya hapo wakaanza kuingizana kazini kirafiki/ndugu na mwishowe hao hao wafanyakazi ndiyo walikuwa abiria wakuu wa kwenda nje kununua bidhaa [hasa kina mama]. Kuna wengine walikuwa wanatumia muda mwingi kusafiri kwa shughuli binafsi kuliko kazini.
Ninakumbuka kisa kimoja -Nilisafiri na ATC kwenda J'burg na wakati nataka kurudi staff wa ATC Jburg wakaniarifu kuwa ndege yao imejaa ila ninaweza safiri na ndge ya SA. Mimi nilikataa na nikasisitiza kuwa nilikuwa na cfmd booking ya ATC lakini dada yangu huyo alishikilia kuwa ndege imejaa. ili kufupisha kisa hiki, mwishowe nilifanikiwa kurudi na ndege
ya ATC lakini cha kushangaza iliondoka na abiria karibu nusu tu na sehemu kubwa ilikuwa haina abiria.
Vitu kama hivi ndivyo na vinginevyo viliendelea kama cancer na mwishowe shirika limefika lilipofikia.
Mkuu utaikwepeshaje ccm na majanga ya Nch hii? kipindi hicho sindio chama kilikuwa kimeshika HATAMU zaidi ingawa Leo kimeshika hatamu kwakujificha kwenye KOTI la Vyama vingi
 
Mkuu utaikwepeshaje ccm na majanga ya Nch hii? kipindi hicho sindio chama kilikuwa kimeshika HATAMU zaidi ingawa Leo kimeshika hatamu kwakujificha kwenye KOTI la Vyama vingi
Tatizo lako wewe na wenzako ni kwamba mnashindwa kufanya analysis kwa sababu ya kutokuwa ' multi dymensional thinker' mnachofahamu nyinyi ni kuwa mambo yakienda vibara sababu huwa ccm lakini yakienda vizuri husifu individuals involved.
 
Tatizo lako wewe na wenzako ni kwamba mnashindwa kufanya analysis kwa sababu ya kutokuwa ' multi dymensional thinker' mnachofahamu nyinyi ni kuwa mambo yakienda vibara sababu huwa ccm lakini yakienda vizuri husifu individuals involved.
Mkuu wangu kwanza mimi sina matatizo yoyote...Tangu tupate Uhuru hakuna chama kingine kimetawala hii Nchi kwahiyo mkitaka kusifiwa pia mkubali kulaumiwa sababu yanawahusu....Analysis yanini kwenye mambo yaliyowazi
 
Embraer 190, E190, Embrear 170, ya Brazil ni hottest cake... in aviation hasa ktk regional flights.. !! Yaani hiyo inaua biashara ya ndege za turbo props kabisa... na ni special for regional flights.. medium and short ranges..!!

Sijui kama Serikali yetu inajua hili..!!

View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405764 View attachment 405766 View attachment 405769 View attachment 405770 View attachment 405771 View attachment 405771View attachment 405771 View attachment 405773
Sasa kuhusu air pangaboyi itakuwaje jamani!!!
 
Hiyo nilazima hizo ni ndege za ccm lazima isafirishe wajumbe kwaza wa mkutano mkuu wa ccm biashara baadae na faida tunaitaka ukisema umepata hasara unatumbuliwa kwani umeshindwa kujiongeza!
 
Mkuu wangu kwanza mimi sina matatizo yoyote...Tangu tupate Uhuru hakuna chama kingine kimetawala hii Nchi kwahiyo mkitaka kusifiwa pia mkubali kulaumiwa sababu yanawahusu....Analysis yanini kwenye mambo yaliyowazi
Tatizo lako jingine ni hilo la kuwabatiza watu uanachama wa vyama vya siasa kutokana na kuwa na mtazamo tofauti nawe tu.
 
Kwa sisi tuliozoea mabasi siku tukianza kupanda ndege tutaendelea na uchaguzi wetu wa ndege za seat za two by two.
 
Mkuu unatumia nini kufikiri Umeshawahi kuona ID yangu inalalamikia Watu kulipwa mishahara mikubwa humu....au unakariri...MTU alipwe kutokana na umuhimu wake...kwaakili yako unamkabidhi mtu Shirika lenye maBilions ya Shilingi kisha unamlipa 15ml nabado unategemea alisaidie hilo Shirika lishindane na watu waliojipanga..ndio maana mnateuana kwa Sifa yakuvaa Nguo za kijani MTU anaejua thamani yake ningumu kumpata! Tatizo lenu kila mahari mnataka kufanya Majaribio
Mimi siyo ccm na wala sijawahi kuwa ccm ila upinzani kwa raisi huyu inabidi mjipange. Kwasababu yupo makini na anafanya mambo kwa maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom