Rancho Chand
Senior Member
- Nov 4, 2012
- 150
- 71
Ngoja nitafute pesa aisee...
Pesa si mwanaharamu bali ufukara ndo mwanaharamu coz' wakati fedha ina-janisha(makes u young), ufukara unazeesha! Sasa nani hapo mwanaharamu?
usitake nifanye maamuzi magumu wallahi! ni nini hiyo??Babu mkuu niko na kiko changu hapa ujue.....
View attachment 195277
Yule tajiri wa Nigeria akitumbuiza kwenye birthday ya my wife wa ze bilionea orijino(acha huyu ze bilionea wetu feki wa hapa jf na mitandaoni)
Shikamoo pesa
Huyu jackline hachuji,tangu alivyo kuwa 2001 mpaka leo bado yupo vile vile kamzid hadi SITTI MTEMVU kwa uzuri
Hii habari ilishawekwa humu kitambo!
Huyu jackline hachuji,tangu alivyo kuwa 2001 mpaka leo bado yupo vile vile kamzid hadi SITTI MTEMVU kwa uzuri
View attachment 195277
Yule tajiri wa Nigeria akitumbuiza kwenye birthday ya my wife wa ze bilionea orijino(acha huyu ze bilionea wetu feki wa hapa jf na mitandaoni)
Shikamoo pesa
Hachuji wapi wakati anaishi kwa kula ARV's
How did u know ?
View attachment 195277
Yule tajiri wa Nigeria akitumbuiza kwenye birthday ya my wife wa ze bilionea orijino(acha huyu ze bilionea wetu feki wa hapa jf na mitandaoni)
Shikamoo pesa