Aweke video tusikie. Aweke na picha anapohutubia. Anatuwekea picha kabla ya Mkutano. Kama si uongo ni nini?
stupidity ni ugonjwa
kuna wakati wakuu mpunguze kujadiliana sana na vipofu maana kuna watu ni wabishi mpaka kwa ujinsia wao wenyewe.Zomba usibishe vitu ambavyo haujavisikia huo ni ukweli mtupu hakuna uongo hapo.
Uongo mtupu!
CCM hapo 2 ndipo mnapokosea,kuwatukana na kuattach personal issues za viongozi wa CDM wakati wao wanaongea hoja ya kmkomboa mtanzania,mkitaka kuwin jibuni hoja na mseme kwa mifano utekelezaji wa ilani yenu na ahadi zenu.mliahidi mambo kibao wakati wa kampeni,sasa hivi mkiulizwa mnatukana.Huyu mwigulu anawabomolea chama.NYERERE angekua hai angeshamfukuza!! ana element za umafia,ujambazi na ulimbukeni.
Yeye kama katibu wa uchumi na mipango wa chama anapaswa kukiimarisha chama kiuchumi,aeleze tngu apewe huo wadhifa uchumi wa Chama umekua kwa asilimia ngapi?pesa kiasi gani chama kinapata kila mwezi kutokana na vitega uchumi vyake?aoneshe transparency ya mapato na matumizi..
Upi ni uongo mtupu sasa, kuwepo kwa mkutano Igunga uliohutubiwa na Mwigulu, au maneno yake Mwigulu?
Soma vizuri nyuzi nzima utakutana na majibu.