Picha na Habari: Siku ya kwanza ya Rais Magufuli akiwa ofisini Ikulu

Mtu anapozi kupiga picha ndo mnamsifia ... ? mwenyewe anasaini posho yake ya kuvizia wachelewaji wizara ya fedha na TRA
 
Namuomba atoke dar ahamie dodoma, asikalie dar, dodoma mji mkuu na una ikulu vile vile
 
Hapa napata picha,kumbe msemakweli ni bavicha halafu msemajiukweli yeye analeta news motomoto kutokea maeneo ya statehouse,


kweli lila na fila hazingemani
 
Hapo kuna picha tu...

Hiyo habari iko wapi?

Au ni hiyo quotation na taarabu zako...

ACT imepata asilimia ngapi ya kura?
 
Yapo mawili matatu natamani anifanyie:
1. Kuutatua mzozo wa Zenj haraka iwezekanavyo
2. Kuondoa mwanya uliopo kati ya walio nacho na wasio nacho.
Kama mh. rais unasomaga JF; Nakuomba yafuatayo tu. Jitahidi sana kuondoa huu mwanya wa walio nacho na wasio nacho kwa kufanya jitihada za makusudi kumwinua masikini. Mfano, kumwondolea mzigo mkuubwa mkulima. Mzigo wa kutumia jembe la mkono leo hii karne hi ya 22. Ni mzigo wa kutisha. Pamoja na mzigo huu, ni ndoto kubwa kwa mkulima kuvuna mazao yake. Bado anategemea wanyama kazi kumvunia na vibarua kuvuna kwa mikono.
Mfugaji wetu amekuwa kibarua na mtumwa wa mfugo yake, anazunguka kila mahali kutafuta majani ya mifugo huku akikumbana na mkulima anayelinda mazao yake. Vita kuu tuliyo nayo ni ukosefu wa elimu kwa mfugaji ili aweze kufuga mifugo yenye tija. Anadhani wingi ndo utajiri wala hajui namna ya kumlisha huyo myama.
Leo, kilimo ni utumwa wala sio ajira, kumbe kimgewezza kuwa kiwanda kikuu cha ajira kama kingelikumbukwa kwa kupewa nafasi maalum kwenye vyombo vya fedha. Serekali ikachukua dhamana kwa mkulima wa kweli kumletea vitendea kazi karibu na kwa bei wezeshi avinunue au akopeshwe. Kwanza, Ardhi yake na hivyo vifaa ni dhamana tosha.
Nchi izalishe vyakula vya kutosha na surplus tuuze nje ikiwa tiyari ishasindikwa.
Mh. Magufuli, kama utayafanya haya, 2020 hutahitaji mtaji wa wezi wa kura kukurudisha Ikulu. Just Mark ma words
 
We Ndakilawe wewe ulitaka afanye nini ili useme hapo sawa,acheni uzuzu hata kama ungezikili uchi wa mnyama kupinga kila afanyacho husaidii,humpunguzii mamlaka aliyonayo kwa sasa,hata ukienda mahakamani ni kazi bure masanduku yamesha tamka na Waangalizi wa Kimataifa wamesema Uchaguzi ulikuwa huru na haki,fitna,ulalamishi wako havitokusaidia lolote,hapa ni kwenu labda kama una uraia wa Syria au Somalia nenda kwenu tuachie nchi Mama Yetu Tanzania.
 
Rais Magufuli tunamuomba ateue Baraza Dogo tu la Mawaziri, 13 tu pamoja na Waziri Mkuu! Manaibu wasiwepo, hawana Kazi zaidi ya kujibu Maswali tu Bungeni! Baraza la JK ni Mawaziri 32 na Manaibu 25! Mawaziri wa Nchi wasiwepo, nao hawana Kazi pia, ni kupeana Ulaji tu! Mawaziri wajibu wenyewe Maswali Bungeni; Waziri Mkuu ashughulikie yeye Binafsi TAMISEMI!
 
kaka nimeipenda hii comment yako,huyu msemajiukweli zi zuzu sana,unajua lowasa alichokifanya ni jambo la kijasiri sana na ukweli yeye ndo aliyeshinda urais na ataendelea kuwa rais wa miyoyo ya watanzania,atapambana nje ya serikali na siku moja utakuja elewa tuna maana gani,na ukitaka kujua kwamba huyu jamaa yuko vizuri,angalia hata mke wake amepewa ubunge wa viti maalum amekataa,so hawa watu hawana njaa,hawafanyii kazi shida

Uchaguzi umeisha acheni chaguo la watu afanye kazi yake.
Kwahiyo, kwa heshima na taadhima naomba ukafie mbele huko.
 
usikute anachambua list ya wanafiki wa ccm

hongera magufuli naichukia ccm ilnakukubali nlikupa kura wewe binafsi na sii ccm
 
Hapo nadhani Vibaka na wadokozi wanatetemeka hawajui hilo faili analiopitia ni la Richmond, Epa au Rada
Rais wa Awamu ya Tano ni KaziTu.

Kwa sasa hajaanza kukunjua makucha yake ya kikazi. Kazi itaanza kwa kasi rasmi baada ya kupatikikana Waziri Mkuu.
 
Back
Top Bottom