njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Tumpongeze Katambi kwa kufanikisha, hizi nyingine ni kelele tuuuHapa ni kabla hajatumia ile technic inayotumiwa na wengi ya kumtukana mbowe na chadema kisha kupewa ulaji na kulambishwa asali, jamaa keshasahau kwa sasa anawaona vijana wasio na jira wanaotafuta mikopo na kukosa kwamba ni wajinga fulani hivi au ni wakenya kwa akili yake na ujeuri wake ni kwamba hakuna aliyeomba mkopo akakosa
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.
View attachment 2232183
Dah no one knows tomorrow.Hapa ni kabla hajatumia ile technic inayotumiwa na wengi ya kumtukana mbowe na chadema kisha kupewa ulaji na kulambishwa asali, jamaa keshasahau kwa sasa anawaona vijana wasio na jira wanaotafuta mikopo na kukosa kwamba ni wajinga fulani hivi au ni wakenya kwa akili yake na ujeuri wake ni kwamba hakuna aliyeomba mkopo akakosa
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.
View attachment 2232183
amekuudhi sana wewe binafsi hadi umefukua makaburi we noma mkuu!Hapa ni kabla hajatumia ile technic inayotumiwa na wengi ya kumtukana mbowe na chadema kisha kupewa ulaji na kulambishwa asali, jamaa keshasahau kwa sasa anawaona vijana wasio na jira wanaotafuta mikopo na kukosa kwamba ni wajinga fulani hivi au ni wakenya kwa akili yake na ujeuri wake ni kwamba hakuna aliyeomba mkopo akakosa
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.
View attachment 2232183
2025 ndio mwisho wake, mama habebi mtuHapa ni kabla hajatumia ile technic inayotumiwa na wengi ya kumtukana mbowe na chadema kisha kupewa ulaji na kulambishwa asali, jamaa keshasahau kwa sasa anawaona vijana wasio na jira wanaotafuta mikopo na kukosa kwamba ni wajinga fulani hivi au ni wakenya kwa akili yake na ujeuri wake ni kwamba hakuna aliyeomba mkopo akakosa
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.
View attachment 2232183
Acha ukabila, wasukuma hawako hivyo.Si unajua wasukuma wakipata
Katambi na Jiwe ni Kabila gani?Acha ukabila, wasukuma hawako hivyo.
Siku hizi amejua hata kusugua meno kwa miswaki ya dukani na dawa ya Colgate amekuwa mpuuzi sana.Dental-formular inadhihirisha kwamba Meno yake yalikuwa hayaonani na dawa.Teh!Katambi=afisa kipenyo=meno ya ngiri.
2025 kwa Masele hachomoiHata huko CCM hawamkubali aliambulia kura sita tu kwenye kura za maoniView attachment 2232739
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app