njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,661
Hapa ni kabla hajatumia ile technic inayotumiwa na wengi ya kumtukana Mbowe na CHADEMA kisha kupewa ulaji na kulambishwa asali, jamaa keshasahau kwa sasa anawaona vijana wasio na ajira wanaotafuta mikopo na kukosa kwamba ni wajinga fulani hivi au ni wakenya kwa akili yake na ujeuri wake ni kwamba hakuna aliyeomba mkopo akakosa
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.
Hii ni picha yake ezi hizo akiwa choka mbaya kabla hajalamba asali na kujiita karai.